mwakasongoro Member Aug 4, 2016 51 17 Oct 28, 2017 #1 Naomba mwenye KANUNI ZA UTUMISHI UMMA 2003 Anitumie
tongs JF-Expert Member Jun 4, 2017 539 940 Oct 28, 2017 #2 mwakasongoro said: Naomba mwenye KANUNI ZA UTUMISHI UMMA 2003 Anitumie Click to expand... Kanuni za ajira na mahusiano kazini au kanuni za utumishi wa umma mkuu?
mwakasongoro said: Naomba mwenye KANUNI ZA UTUMISHI UMMA 2003 Anitumie Click to expand... Kanuni za ajira na mahusiano kazini au kanuni za utumishi wa umma mkuu?
Dragoon JF-Expert Member Nov 24, 2013 7,012 8,126 Oct 29, 2017 #4 Hizi hapa Attachments kanuni_za_utumishi_wa_umma.pdf 287.5 KB · Views: 436
mwakasongoro Member Aug 4, 2016 51 17 Oct 29, 2017 Thread starter #5 Asante ila hiyo ni ya mwaka2014 halafu inahusu serikali ya Zanzibar,Mimi nahitaji KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA ZA 2003
Asante ila hiyo ni ya mwaka2014 halafu inahusu serikali ya Zanzibar,Mimi nahitaji KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA ZA 2003
Y Yodoki II JF-Expert Member Oct 17, 2014 5,517 3,995 Nov 11, 2017 #6 mwakasongoro said: Asante ila hiyo ni ya mwaka2014 halafu inahusu serikali ya Zanzibar,Mimi nahitaji KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA ZA 2003 Click to expand... Sema Public Service Act, Rules 2003..
mwakasongoro said: Asante ila hiyo ni ya mwaka2014 halafu inahusu serikali ya Zanzibar,Mimi nahitaji KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA ZA 2003 Click to expand... Sema Public Service Act, Rules 2003..
mwakasongoro Member Aug 4, 2016 51 17 Nov 11, 2017 Thread starter #8 Public service act 2003 ndio nitumie
ATRACURIUM JF-Expert Member Jul 2, 2018 753 917 Jun 26, 2019 #9 mwakasongoro said: Naomba mwenye KANUNI ZA UTUMISHI UMMA 2003 Anitumie Click to expand... Shida yako hii ni ya wengi, je unaonaje mkijiunga na kupata wakili mbobezi?
mwakasongoro said: Naomba mwenye KANUNI ZA UTUMISHI UMMA 2003 Anitumie Click to expand... Shida yako hii ni ya wengi, je unaonaje mkijiunga na kupata wakili mbobezi?
M MZEE RAZA JF-Expert Member Feb 19, 2015 3,437 2,404 Jul 31, 2019 #10 mwakasongoro said: Public service act 2003 ndio nitumie Click to expand... Inaitwa public service regulations 2003. Act yake ni public service act no 8 of 2002 as ammended in 2007
mwakasongoro said: Public service act 2003 ndio nitumie Click to expand... Inaitwa public service regulations 2003. Act yake ni public service act no 8 of 2002 as ammended in 2007
B Bonson05 Member Oct 12, 2012 77 12 Aug 3, 2019 #11 Nahitaji sheria ya elimu namba 25 ya 1978 mkuu kama inapatikana