mwakasongoro
Member
- Aug 4, 2016
- 51
- 17
Naomba mwenye KANUNI ZA UTUMISHI UMMA 2003 Anitumie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanuni za ajira na mahusiano kazini au kanuni za utumishi wa umma mkuu?Naomba mwenye KANUNI ZA UTUMISHI UMMA 2003 Anitumie
Sema Public Service Act, Rules 2003..Asante ila hiyo ni ya mwaka2014 halafu inahusu serikali ya Zanzibar,Mimi nahitaji KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA ZA 2003
Naomba mwenye KANUNI ZA UTUMISHI UMMA 2003 Anitumie
Inaitwa public service regulations 2003. Act yake ni public service act no 8 of 2002 as ammended in 2007Public service act 2003 ndio nitumie