PHILIPP DONIE
Member
- Jul 2, 2013
- 61
- 15
nimenunua modem ya tigo huawei e303h-1. tafadhali mwenye firmware update au trick nyingne niweze kuitumia kwa simcard nyingne anisaidie. asanteni sana..
Mkuu mbona hawa wana officil website ya firmware zao... Ila mm nlijarbu kuweka firmware kwenye modem kama hyoo ila sikufanikiwa kui unlock na sasa. Ile webui ya modem haijiiii
Hivi ku unlock na ku update software ni jambo lile lile? Tena uka update huko huko tigo waliko lock hiyo modem? Try to be serious.
Mkuu mbona hawa wana officil website ya firmware zao... Ila mm nlijarbu kuweka firmware kwenye modem kama hyoo ila sikufanikiwa kui unlock na sasa. Ile webui ya modem haijiiii
web yenyewe pia najaribu kuingia sasa hv hawajaweka upadate ya hizi e303h
hii haijapata dawa badoMkuu mbona hawa wana officil website ya firmware zao... Ila mm nlijarbu kuweka firmware kwenye modem kama hyoo ila sikufanikiwa kui unlock na sasa. Ile webui ya modem haijiiii