WISE BOY
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 782
- 244
Salaaam wana jamvi!!!
Kuna siku mtoto alikua analia usiku, alilia kwa muda mpaka usiku sana, baada ya kubembelezwa bila mafanikio mm nikambeba nikamchapa kidogo miguuni (chapa ya kitoto) akanyamaza baada ya muda mfupi na akalala.
Sasa tangu sku hyo mtoto akiniona anakimbia na kuanza kulia, hata kama alikua anacheza anaacha kabisa, hii kitu inaninyima amani sana.
Naombeni msaada wenu ktk hili, ni vp naweza kabiliana na hii hali?
Mtoto ana umri wa mwaka 1 na nusu
Kuna siku mtoto alikua analia usiku, alilia kwa muda mpaka usiku sana, baada ya kubembelezwa bila mafanikio mm nikambeba nikamchapa kidogo miguuni (chapa ya kitoto) akanyamaza baada ya muda mfupi na akalala.
Sasa tangu sku hyo mtoto akiniona anakimbia na kuanza kulia, hata kama alikua anacheza anaacha kabisa, hii kitu inaninyima amani sana.
Naombeni msaada wenu ktk hili, ni vp naweza kabiliana na hii hali?
Mtoto ana umri wa mwaka 1 na nusu