Msaada: Mtoto wangu ana tabia ya kupiga wageni na kusema 'toka kwetu'

Utupu unaujuwa wewe?najidhalilisha unanijuwa mm?unajuwa maisha yangu?
Wachana na Mimi,,,sigegedi wanawake wasio na antenna,,hangaika na govinda lako kwn ndy uliyomchaguwa huyo,,wacha kupapatikiwa mabaharia,,
Unazungumza malezi kumbe na wewe kinyesi kabisa,,
Nisingeleta mada hapa kwani nimekuletea wewe?
Hilo povu vepee Mimi Sina nguo chafu naona unanifokea fokea tu humu bila sababu na bado baba jina
 
Hayo ni maneno tu mkuu,,,pengine huna hata mtoto wa dawa,,
Haha asante, naona kama unaanza kuni provoke ili unipe tusi litakalokupendeza

Ati sina mtoto hata wa dawa! inaonekana labda mwenzangu watoto unatafuta kwa njia za dawa ndio maana unadekeza .
kila la kheri kwenye malezi
 
  • Thanks
Reactions: ABJ
Habari wakuu,

Nina mtoto wangu wa kiume wa miaka 3. Ni miezi kama miwili sasa ameanza tabia isiniyopendeza, kila akija mgeni especially wakati wa kula atamfukuza mgeni toka kwetu, wacha kula chakula chetu. Nikimkemea analia kilio kama kapigwa.

Juzi nilijisikia aibu sana alipompiga mgeni na fagio wakati wa kula, ni baada ya mgeni kukaidi agizo lake la toka kwetu.

Naomba msaada wakuu jinsi ya kumsaidia mtoto wangu kutoka kwenye tabia hii chafu.
UTALIPA GHARAMA kwa huo utovu wa adabu na tabia za hovyo unazozipalilia kwa mwanao itakapofika zamu ya mwalimu mwingine (dunia) ambaye hachelei mwana kulia.
 
Utupu unaujuwa wewe?najidhalilisha unanijuwa mm?unajuwa maisha yangu?
Wachana na Mimi,,,sigegedi wanawake wasio na antenna,,hangaika na govinda lako kwn ndy uliyomchaguwa huyo,,wacha kupapatikiwa mabaharia,,
Unazungumza malezi kumbe na wewe kinyesi kabisa,,
Nisingeleta mada hapa kwani nimekuletea wewe?
Inabid mashosti zako wakuweke kikao, maana hukufundwa kwenu
 
Kitendo Cha kumuanzishia uzi mtoto wa Miaka mitatu hakijakaa sawa hata kidogo, kumbuka unaongea na wazazi humu na wengi wanashangazwa na tabia hiyo ya mwanao,

Ukija kwangu utakuwa served drinks chai na vitafumwa Kama Vipo na my last born wa kiume wa Miaka 4, Kama ulimkuta anaangalia tv atakuuliza akuwekee channel ipin uangalie , kabla ya yeye kutoweka hapo sebuleni nakuelekea chumbani kwake Hadi utakapoaga kuondoka ndo atakuja kukupa goodbye,
Ntakuja kunywa chai na vitafunwa
 
Yaani mtu unatoa uzi ili ushauriwe halafu unakataa maoni ya watu rubbish!.
Wewe ,mke wako na huyo junior mnahitaji fimbo akili ziwakae sawa
Hivi kejeli na kashfa ndy ushauri?
 
Sawa mkuu,,,ila Mimi siishi kwa kufata uwingi wa comment umeeleza nn?naangalia nani ameeleza ushauri mzuri,,kuwa wengi hai maanishi kwamba ndy mnauelewa mkubwa zaidi ya mwingine,
Wengi wenu comments zenu ni za matusi na mihemko pamoja na stress za maisha yenu ,,na wake zenu,,,pimbi wee,,
Ukubwa wa domo lako la avatar ni alama sahihi ya ukubwa wa kijambio chako...bwege wee
Kwa namna unavyo andika si ajabu mtoto wako kuwa na tabia za ajabu.
 
Haya yote uliyotaja hapa yako kwenye kundi la mienendo yakujifunza.Kumbuka kuna tabia zakujifunza na za kuzaliwa.Sasa mara nyingi tabia za kuzaliwa(inborn behavior) tunazichanganya na zile zakujifunza(interlectual behavior) ndo maana wazazi wazamani wao ilikua ni fimbo mwanzo mwisho bila kujua walikua wanarekebisha kundi moja tu la tabia zakujifunza uku zile zakuzaliwa zikibaki na mtoto akikua nazo.Kwa mfano tabia ya kuzaliwa ya ukarimu, kiburi,,ubinafsi aviwezi kurekebishwa kwa fimbo au kipigo.Kwahiyo hulka ya mtu inategemea alilelewaje toka umri wa miaka 0 hadi 6.
Tabia za kuzaliwa ni kama zipi Mkuu?
 
Back
Top Bottom