mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
Habari wakuu,
Nina mtoto wangu wa kiume wa miaka 3. Ni miezi kama miwili sasa ameanza tabia isiniyopendeza, kila akija mgeni especially wakati wa kula atamfukuza mgeni toka kwetu, wacha kula chakula chetu. Nikimkemea analia kilio kama kapigwa.
Juzi nilijisikia aibu sana alipompiga mgeni na fagio wakati wa kula, ni baada ya mgeni kukaidi agizo lake la toka kwetu.
Naomba msaada wakuu jinsi ya kumsaidia mtoto wangu kutoka kwenye tabia hii chafu.
Nina mtoto wangu wa kiume wa miaka 3. Ni miezi kama miwili sasa ameanza tabia isiniyopendeza, kila akija mgeni especially wakati wa kula atamfukuza mgeni toka kwetu, wacha kula chakula chetu. Nikimkemea analia kilio kama kapigwa.
Juzi nilijisikia aibu sana alipompiga mgeni na fagio wakati wa kula, ni baada ya mgeni kukaidi agizo lake la toka kwetu.
Naomba msaada wakuu jinsi ya kumsaidia mtoto wangu kutoka kwenye tabia hii chafu.