t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 6,358
- 14,742
Swala la kaka zake kutokuwa na tabia hizo kinaweza kuwa kama hivi, kwa kawaida familia zetu huwa tunazianzisha huku tunaendelea kutafuta maisha , bahati mbaya watoto wa kwanza na pili kuzaliwa huwa wanakulia katika mazingira ya shida shida , na hata malezi yanakuwa mengi kutoka kwa wazazi,Hapo kwenye Dada wa kazi pengine lakini sio kwa maisha magumu,,
Mimi nina maisha ya kawaida,,sio ya chini wala ya juu,,lakini simpigii mtu hodi kuomba mkate,,,
Na kama ni maisha ?mbona kaka zake hawapo hivyo?
mara nyingi mtoto wa mwisho anazaliwa kaikuta mambo Yamesha settle ,wazazi wanakuwa busy kuliko kawaida na house girl ndo anatake over nafasi ya baba na mama shida inaanzia hapo.