nitonye
Kama baba yake mtoto ni mkurya kazi ipo.Ni kopi ya mura hiyo.
Hasira ni kitu cha kawaida.Ila kama anaanza kuvunja vitu (destructive anger) hapo inabidi uanze kumdhibiti mapema kwa kumwonyesha umechukia na kumvuta aisifanye kile atakach
😵f course atalia sana ukimvuta na kumzuia anachotaka kufanya lakini baadaye akivutwa vutwa mara nyingi ataacha.usimpe nafasi ya kutekeleza azima yake akiendelea hivyo atakuja haribika mno mbeleni.
Ila akikua kidogo ni vizuri kuanza kumchapa kidogo kidogo anapokosea ili ajue kila kosa lina adhabu.Ataacha hivyo vi hasira koko vyake na akikua ataogopa kulipuka hasira mno akijua kuwa atashughulikiwa kama mzazi ulivyokuwa ukimshughulia.Usipomshughulikia atakua akijiona yeye mfalme anayeweza fanya chochote na asifanywe chochote.Ndio maana adhabu muhimu hasa kwa mtoto anapokuwa mdogo anapokosea.