zipalapwata
JF-Expert Member
- Oct 19, 2016
- 280
- 144
Msaada please mtoto hataki kula kabisa zaidi ya kunyonya. Ana mwaka na miezi 7
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada please mtoto ataki kula kabisa zaidi ya kunyonya Ana mwaka na miez 7
Sent using Jamii Forums mobile app
na hii inatokea MIEZI 6 yote mtoto unampa maziwa ya mama tu kufuata ushauri wa kidaktari hata vimaji humpi ni sawa lkn inategemea na mto anavyokkuwa na mazingira uliopo.Tatizo tunalea watoto kizungu mno...mtoto mpaka maji ya kunywa tunablend...mchanganye na wenzake atapenda kama tu...acha kumfungia ndani mwache achangamane na wenzake...hamna jipya zaidi ya hili..maanake i hope kama hospitali umeshampeleka sana tu...huku umekuja kuchukua second opinion tu...