Msaada mtoto asiependa kula

Msaada mtoto asiependa kula

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
28,027
Reaction score
52,500
My baby is almost 5yrs now!!
Hapendi kula kabisa yaani .nimetumia unga zote za lishe , nimebadili mapishi yote lakini wapi.
Akifungua shule anakonda vibaya mno maana sidhani kama anakula vizuri huko.
Naombeni msaada wa mawazo mbalimbali nini kifanyike .


Mwanangu hayuko bording jamani .ila siku nzima.anashinda.shuleni anarudi jioni
Looh mnikome
 
Nenda hospital kampime choo kikubwa mwanao atakuwa na minyoo so daktari atakueleza dawa ipi utumie
 
My baby is almost 5yrs now!!
Hapendi kula kabisa yaani .nimetumia unga zote za lishe , nimebadili mapishi yote lakini wapi.
Akifungua shule anakonda vibaya mno maana sidhani kama anakula vizuri huko.
Naombeni msaada wa mawazo mbalimbali nini kifanyike .


Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Kama ana miaka 5 alafu yupo boarding school tatizo ni wewe tena utakuwa na shida kichwani, lakini kama unaishi nae, tafuta nutritionist.
 
Anakaa shule huko huko ama??

Kama umeruhusu junya akae shule ilhali unajua ana shida ya maakuli basi tatizo ni wewe sasa.
 
Mnajisikiaje wazazi mnapopeleka watoto wenye miaka 5 wakaishi mashuleni? anakosa malezi bora kutoka kwa mama na baba, kuweni na huruma na watoto jamani.hata kama unapesa nyingi ishi karibu na mtoto wako hadi kiwango cha elimu ya darasa la saba anamaliza
 
Neena hospitali fuatilia vipimo kuangalia kama anashida yoyote mwilini.
 
My baby is almost 5yrs now!!
Hapendi kula kabisa yaani .nimetumia unga zote za lishe , nimebadili mapishi yote lakini wapi.
Akifungua shule anakonda vibaya mno maana sidhani kama anakula vizuri huko.
Naombeni msaada wa mawazo mbalimbali nini kifanyike .


Mwanangu hayuko bording jamani .ila siku nzima.anashinda.shuleni anarudi jioni
Looh mnikome
wamama wa sikuizi bwana? umeshindwa hata kuwauliza wakubwa zako, majirani, shogazo nk unakuja huku?
 
Back
Top Bottom