makenze
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 356
- 217
Mtoto wa jirani yangu anaugua ugonjwa akijisaidia utumbo unatoka nje.
Ana miaka mitatu.
Ila kikubwa jirani hana uwezo wa matibabu sababu hata kujua mtoto tatizo lake linahitaj upasuaji mimi ndo nimemwambia baada ya kuuliza huku na huku.
Ameshaenda hospitali lakini anadai bado dogo anatoa utumbo nje.
So kama.kuna daktari humu wa kutoa msaada huo namuomba hata kumfata inbox au hapa kwa msaada zaidi.
Kiukweli uwezo kifedha hana kabisa.
Ukijiona una matatizo subiri wenzio wakuhadithie yao.
Ana miaka mitatu.
Ila kikubwa jirani hana uwezo wa matibabu sababu hata kujua mtoto tatizo lake linahitaj upasuaji mimi ndo nimemwambia baada ya kuuliza huku na huku.
Ameshaenda hospitali lakini anadai bado dogo anatoa utumbo nje.
So kama.kuna daktari humu wa kutoa msaada huo namuomba hata kumfata inbox au hapa kwa msaada zaidi.
Kiukweli uwezo kifedha hana kabisa.
Ukijiona una matatizo subiri wenzio wakuhadithie yao.