donaldson don
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 624
- 416
Mkuu iyo pesa kama kwawale wahindi wa kariakoo unafanya kazi siku tatu washenzi sana alafu hupumziki kazi kama pundawe unajua 15000 kwa muhindi unafanya kazi ya ugumu gani tena hupati kwa siku moja
hela imekua ngumu hadi kwa machangudoa wateja wanapaka mkongo tu hawamalizi upesi
