Msaada: Msongo wa mawazo umenikosesha usingizi

Msaada: Msongo wa mawazo umenikosesha usingizi

Dawa ya hao mademu naijua nipe no yake nikufanyie mpango akuletee mwenyewe ule mzigo
 
nyengine ona kama umetoa fungu la kumi tu kijana
 
Dawa ya hao mademu naijua nipe no yake nikufanyie mpango akuletee mwenyewe ule mzigo
Bado kidogo tu nikutumie, lakini kabla ya kuituma nkakumbuka sheria za JF.
So sorry men
 
Kwenye nyumba za ibada mnashindwa toa sadaka, wengine mnatoa mia 5... Kwanini msiadhibiwe tu? Mungu ana njia nyingi za kuadhibu watu.
 
Usinikumbushe huko aisee, na hali ilivyo ngumu nikikumbuka vipesa vilivyonitoka na sikuambulia ntalia bure
 
Kwenye nyumba za ibada mnashindwa toa sadaka, wengine mnatoa mia 5... Kwanini msiadhibiwe tu? Mungu ana njia nyingi za kuadhibu watu.
Aisee Hapo Tunapatikana wengi sana...
 
Usinikumbushe huko aisee, na hali ilivyo ngumu nikikumbuka vipesa vilivyonitoka na sikuambulia ntalia bure
Hahaaha, pole sana mkuu... Wewe zilikutoka ngapi?
 
Back
Top Bottom