Msaada: Msongo wa mawazo umenikosesha usingizi

Msaada: Msongo wa mawazo umenikosesha usingizi

Mbona pesa ndogo hiyo wenzako wanatoa Zaidi lakini hawambulii kitu
 
Msiwege na nyie mnagaramikia km hamjapata uhakika WA papuchii..kunywa viroks mawazo yataisha
 
we unajua 15000 kwa muhindi unafanya kazi ya ugumu gani tena hupati kwa siku moja

hela imekua ngumu hadi kwa machangudoa wateja wanapaka mkongo tu hawamalizi upesi
Aisee yani Nawaza nijipe adhabu ya kujinyima vitu vya msingi ili nifidie, nikiwaza nlipoipata kwa shida..
 
jje's anajua kama ulihonga?
Au unamuombea mtu ushauri?
 
Back
Top Bottom