amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,103
- 30,992
Leo asubuhi mida ya saa 1 na robo nipo kwenye gari natokea nyumbani mtaa wa pili nasikia kipaza sauti kinasema''msaada msaada nasumbuliwa na ugonjwa wa kisasa mwenye 100,200,500 anisaidie atalipwa na mungu'' kumwangalia ni kijana mmoja kwa kumcheki age yake ni ndogo sana haizidi 27 na pengine nilimuona hivyo kwa vile anashida za dunia akazidi kuonekana umri umefika hhapo nilipokadiria.Kavaa kipaza sauti kajirekodi maneno hayo anapita na kusimama mtaani na mfuko wake
jamani mimi hata sikumuelewa na pia mpaka sasa sikumuelewa na ukifikiria ni kijana mwenye miguu 2,mikono 2 na macho mawili mashaallah hana ulemavu.
Nimeamua kushare na nyinyi hiki kisa..
Kazi njema wadau
nawasilisha
jamani mimi hata sikumuelewa na pia mpaka sasa sikumuelewa na ukifikiria ni kijana mwenye miguu 2,mikono 2 na macho mawili mashaallah hana ulemavu.
Nimeamua kushare na nyinyi hiki kisa..
Kazi njema wadau
nawasilisha