Msaada msaada msaada nasumbuliwa na ugonjwa wa kisasa!!!!

amu

JF-Expert Member
Aug 8, 2012
16,103
30,990
Leo asubuhi mida ya saa 1 na robo nipo kwenye gari natokea nyumbani mtaa wa pili nasikia kipaza sauti kinasema''msaada msaada nasumbuliwa na ugonjwa wa kisasa mwenye 100,200,500 anisaidie atalipwa na mungu'' kumwangalia ni kijana mmoja kwa kumcheki age yake ni ndogo sana haizidi 27 na pengine nilimuona hivyo kwa vile anashida za dunia akazidi kuonekana umri umefika hhapo nilipokadiria.Kavaa kipaza sauti kajirekodi maneno hayo anapita na kusimama mtaani na mfuko wake
jamani mimi hata sikumuelewa na pia mpaka sasa sikumuelewa na ukifikiria ni kijana mwenye miguu 2,mikono 2 na macho mawili mashaallah hana ulemavu.
Nimeamua kushare na nyinyi hiki kisa..
Kazi njema wadau
nawasilisha
 
Duh hii dunia bwana imefika pabaya sana,ni ugumu wa maisha,mtu yuko radhi afanye kitu chochote ili apate hela.Kuna siku nilikuwa hospital AAR karibu na Victoria,akatokea kijana mmoja,akaja kwenye bench nililokuwa nimekaa akatoa barua akanipa bila kuongea kitu,kumbe ni bubu,nikaisoma ile barua ilikuwa ya utambilisho toka serikali ya mtaa kwamba yule kijana ni bubu na ni yatima,amefauru kwenda shule maalum ya sekondari lakini uwezo hana kwa hiyo anaomba msaada.
Huruma iliniingia lakini nilikuwa na wasi wasi na ile barua kama haikuwa sawa kwani hata muhuri wa serikali ya mtaa ulikuwa umechongwa sio kiprofessional.
Nilimpatia yule kijana elfu 30,000/=,akaondoka.Baada ya muda kidogo akaja mdada akaniambia kuwa kaka umeliwa yule sio bubu hiyo ni njia yake ya kutapeli watu hela.Honestly nilikasirika sana na ujinga nilioingizwa nao na nikakumbuka kwa nini nili-doubt ule muhuri kwenye ile barua.
Nifikiri ni kuwa waangalifu sana,kuna watu kweli wana matatizo na wengine ni njia ya kupata hela sasa utamjuaje yupi mwenye matatizo na yupi ni muongo ndio issue
 
Duh hii dunia bwana imefika pabaya sana,ni ugumu wa maisha,mtu yuko radhi afanye kitu chochote ili apate hela.Kuna siku nilikuwa hospital AAR karibu na Victoria,akatokea kijana mmoja,akaja kwenye bench nililokuwa nimekaa akatoa barua akanipa bila kuongea kitu,kumbe ni bubu,nikaisoma ile barua ilikuwa ya utambilisho toka serikali ya mtaa kwamba yule kijana ni bubu na ni yatima,amefauru kwenda shule maalum ya sekondari lakini uwezo hana kwa hiyo anaomba msaada.
Huruma iliniingia lakini nilikuwa na wasi wasi na ile barua kama haikuwa sawa kwani hata muhuri wa serikali ya mtaa ulikuwa umechongwa sio kiprofessional.
Nilimpatia yule kijana elfu 30,000/=,akaondoka.Baada ya muda kidogo akaja mdada akaniambia kuwa kaka umeliwa yule sio bubu hiyo ni njia yake ya kutapeli watu hela.Honestly nilikasirika sana na ujinga nilioingizwa nao na nikakumbuka kwa nini nili-doubt ule muhuri kwenye ile barua.
Nifikiri ni kuwa waangalifu sana,kuna watu kweli wana matatizo na wengine ni njia ya kupata hela sasa utamjuaje yupi mwenye matatizo na yupi ni muongo ndio issue

Usilie kijana, utalipwa na MUNGU wako. Hata hivyo next time uwe makini, katoe kwenye vituo vya yatima vinavyotambuliwa na serikali. We are all human beings,we need to support each other but with caution.
 
Duh hii dunia bwana imefika pabaya sana,ni ugumu wa maisha,mtu yuko radhi afanye kitu chochote ili apate hela.Kuna siku nilikuwa hospital AAR karibu na Victoria,akatokea kijana mmoja,akaja kwenye bench nililokuwa nimekaa akatoa barua akanipa bila kuongea kitu,kumbe ni bubu,nikaisoma ile barua ilikuwa ya utambilisho toka serikali ya mtaa kwamba yule kijana ni bubu na ni yatima,amefauru kwenda shule maalum ya sekondari lakini uwezo hana kwa hiyo anaomba msaada.
Huruma iliniingia lakini nilikuwa na wasi wasi na ile barua kama haikuwa sawa kwani hata muhuri wa serikali ya mtaa ulikuwa umechongwa sio kiprofessional.
Nilimpatia yule kijana elfu 30,000/=,akaondoka.Baada ya muda kidogo akaja mdada akaniambia kuwa kaka umeliwa yule sio bubu hiyo ni njia yake ya kutapeli watu hela.Honestly nilikasirika sana na ujinga nilioingizwa nao na nikakumbuka kwa nini nili-doubt ule muhuri kwenye ile barua.
Nifikiri ni kuwa waangalifu sana,kuna watu kweli wana matatizo na wengine ni njia ya kupata hela sasa utamjuaje yupi mwenye matatizo na yupi ni muongo ndio issue



haya ndo mambo yaliyotia ganzi moyo mwangu nisisaidie hawa watu, unless ni mlemavu kabisaaaaaaaa.....

Kuna mwanamama alinifuata pale st joseph tena kwenye grotto akaniambia ana mtoto na mumewe mhonjwa hajala.... Moyo wangu ulisita sana kumsaidia yule mwanamke ila mwisho wa siku nikaamua kumpa 500 (mwaka 2007 sh 500 ilikuwa kubwaaaaa hihiiiiiiii) cha ajabu mpaka leo bado yupo pale, ni mkamilifu wa viungo sijui tatizo nini.....

Mwaka juzi kuna dreva mmoja alinisimulia kuna mama mmoja anaombaga somewhere mjini, amebeba kama mtoto mgongoni, kuna siku aliamua kumfunua mgongo huyo mwanamama amuone mtoto (sio kila siku wanamsaidia tu) ndipo alibaini kuwa kafunga matambara anajifanya mtoto....

Hivyo ni vyema kuwa makini na wa kuwasaidia, heri ununue mchele, mafuta na sabuni upeleke kwenye vituo vya watoto yatima, au ukajitolee kusaidia wagonjwa waliokwama mayibabu ocean road au hospitali kuliko usanii huu ulioingia.... Sisemi kua wote wasanii ila kuwa makini......

Sometimes sh 200 heri umpe kijana anayeosha vioo vya gari kuliko mtu mzima
 
akikuambia na mie unijulishe

haya mjibu na madam X
mi hata sikumuelewa na hakunivutia kumuuliza maswali ila nahisi alimaanisha ukimwi maana kiwazi unaitwa ugonjwa wa kisasa au ugonjwa wetu
 
Ciello , wenzio watoa vitenge na wewe utatoa nini?

madam x nahisi alimaanisha ukimwi maana kiswazi zamani walikuwa wanauita ugonjwa wa kisasa au ''maradhi yetu''ila hata sikumuuliza maana hakunivutia na ile style aliyotumia ndo kabisaa akazidi kunichanganya
 
Last edited by a moderator:
Duh hii dunia bwana imefika pabaya sana,ni ugumu wa maisha,mtu yuko radhi afanye kitu chochote ili apate hela.Kuna siku nilikuwa hospital AAR karibu na Victoria,akatokea kijana mmoja,akaja kwenye bench nililokuwa nimekaa akatoa barua akanipa bila kuongea kitu,kumbe ni bubu,nikaisoma ile barua ilikuwa ya utambilisho toka serikali ya mtaa kwamba yule kijana ni bubu na ni yatima,amefauru kwenda shule maalum ya sekondari lakini uwezo hana kwa hiyo anaomba msaada.
Huruma iliniingia lakini nilikuwa na wasi wasi na ile barua kama haikuwa sawa kwani hata muhuri wa serikali ya mtaa ulikuwa umechongwa sio kiprofessional.
Nilimpatia yule kijana elfu 30,000/=,akaondoka.Baada ya muda kidogo akaja mdada akaniambia kuwa kaka umeliwa yule sio bubu hiyo ni njia yake ya kutapeli watu hela.Honestly nilikasirika sana na ujinga nilioingizwa nao na nikakumbuka kwa nini nili-doubt ule muhuri kwenye ile barua.
Nifikiri ni kuwa waangalifu sana,kuna watu kweli wana matatizo na wengine ni njia ya kupata hela sasa utamjuaje yupi mwenye matatizo na yupi ni muongo ndio issue

yaani mi ndo kabisaaa sitoi hela siku hizi
ilinikuta posta mmama anaomba nauli akaniomba 1000 nikampa nikajua atapanda daladala
ha ha si nikamuona anaendelea kuomba omba kumuuliza nikashindwa nikamuacha tu
mjini hapa
 
yaani mi ndo kabisaaa sitoi hela siku hizi
ilinikuta posta mmama anaomba nauli akaniomba 1000 nikampa nikajua atapanda daladala
ha ha si nikamuona anaendelea kuomba omba kumuuliza nikashindwa nikamuacha tu
mjini hapa

aha ha ha...siku hizi hata mwenye shida ya kweli hasaidiwi maana usanii umezidi
 
Kuna mwingine humuhumu jf akasema kapata chuo sasa hana uwezo wa ada na matumizi
nikamwambia sie ofisi yetu wanwasomesha watu wenye matatizo kama yeye nipm nikuelekeze tena nikampa na njia za kuanzia kabisa
pia nikmwambia nimekuonea huruma mtoto wa kike ila ile topic yake aliiandika kisanii sasa
nikampa ushauri edit topic utasaidiwa tu hapa
katokomea mpaka kesho hajarudi tena
jamani kazi ipo
kila siku nasema kuishi mjini tabu
 
Back
Top Bottom