Msaada: Mpenzi wangu wa zamani bado ananitaka

Msaada: Mpenzi wangu wa zamani bado ananitaka

zaeni mwongezeke!
maana wewe na huyo dada hata hamueleweki...
wapi mmetoka wala mnakokwenda
sijawaelewa kabisa!
asanteni kwa kunifanya nitabasamu
 
Hujajua kitu hapo....huyo binti kaamua kukupotezea muda sababu ya hiyo hali. Si unajua mambo ya ujauzito unavyozengua. Subiri ajifungue ndo utajua kama anataka arudi kwako au la. Hapo ni hiyo mimba imemfanya amchukie huyo bwana aliyempa mimba. Grow up kid.
 
Hujajua kitu hapo....huyo binti kaamua kukupotezea muda sababu ya hiyo hali. Si unajua mambo ya ujauzito unavyozengua. Subiri ajifungue ndo utajua kama anataka arudi kwako au la. Hapo ni hiyo mimba imemfanya amchukie huyo bwana aliyempa mimba. Grow up kid.
ahsante kwa ushauri
 
Hapo issue ni kuzaa naye au anakuhitaji, sijaona unahusikaje na kumharibia maisha accordingly to maelezo yako, kwakuwa sio wew uliempa mimba.
ndo maana nashangaa mkuu etinilivyokosana nae alikosa mwelekeo
 
Habarini wanajamvi!

Katika harakati za hapa na pale nilikwaruzana na mpenzi wangu, ofcourse nilimpenda nae alinikubali japo sikumwamini sana na ishu ya kuzinguana ni kwasababu alimtukana mtu ninaemtegemea katika mambo kadha wa kadha.

Nilivyojaribu kumwambia kwamba sijapenda lile suala akaanza kunikashfu actually ikaniuma so tukaacha kuwasiliana na kila mtu akawa na mishe zake. After one year nimekutana nae tena, she is pregnant na kaniomba tuzungumze.

Nilivopata mda tukakaa, akaanza kulia oooooh! Umefanya maisha yangu yawe magumu, sikutaka kuzaa na mwanamme mwingine zaidi yako na bado nakupenda sana na lazima nije nizae na wewe.

Wakuu nifanyaje?

Nina tukio linatokana na kwa asilimia kubwa na hili lako.
 
Onyesha ukomavu mwache alee ujauzito wake. Tafuta mwanamke mwingine
 
Nina tukio linatokana na kwa asilimia kubwa na hili lako.

Nina tukio linalofanana na hili lako kwa asilimia kubwa sana.
Inaonyesha alijilengesha kupata ujauzito haraka haraka ili kukukomoa ila sasa amezinduka ndio maana anakupigia magoti.
 
Wala hujafanya maisha yake magumu... ile huyo aliye nae ndiyo mwenye maisha magumu..
 
Wanaume mna vituko!!! Mnapenda kuvuliwa chupi na kila mtu halafu mkitaka kuoa mnatafuta bikira. Hahahaaaaa!!!!!!!!!!
 
Habarini wanajamvi!

Katika harakati za hapa na pale nilikwaruzana na mpenzi wangu, ofcourse nilimpenda nae alinikubali japo sikumwamini sana na ishu ya kuzinguana ni kwasababu alimtukana mtu ninaemtegemea katika mambo kadha wa kadha.

Nilivyojaribu kumwambia kwamba sijapenda lile suala akaanza kunikashfu actually ikaniuma so tukaacha kuwasiliana na kila mtu akawa na mishe zake. After one year nimekutana nae tena, she is pregnant na kaniomba tuzungumze.

Nilivopata mda tukakaa, akaanza kulia oooooh! Umefanya maisha yangu yawe magumu, sikutaka kuzaa na mwanamme mwingine zaidi yako na bado nakupenda sana na lazima nije nizae na wewe.

Wakuu nifanyaje?
Huyu mpige nao tu.....yani ukiwa na nyege mshindo unawahi kwake mana ex haachi
 
Wanaume mna vituko!!! Mnapenda kuvuliwa chupi na kila mtu halafu mkitaka kuoa mnatafuta bikira. Hahahaaaaa!!!!!!!!!!
Duuuh kwa maisha hya kuoa bikra labda binti wa 16yrz ndio umkute nayo tena kwa nadra
 
Yaani ndivyo ilivyo kwenye game alikuwa analia kwa hamu ya utamu halafu sijui wabwagane na mpenzi wake ndo aje na mimba halafu nimuelewe , hapana aisee.
Hahahaha eti "halafu"...
 
Back
Top Bottom