Msaada: Mpenzi wangu wa zamani bado ananitaka

Msaada: Mpenzi wangu wa zamani bado ananitaka

Sema unatamaNi mjikumbushie habar kwisha!!!!!!! Nenda ukazae nae uwe baba mdogo,,,,.
 
Huyo mwanamke mi namwona kama mjinga fulani hivi, upate ujauzito halafu ujutie kwani alibakwa si tamaa zake tu inshor kuwa mwangalifu kijana sababu kulea mtoto ambae sio wako ni kipaji.
 
  • Thanks
Reactions: irk
Huyo mwanamke mi namwona kama mjinga fulani hivi, upate ujauzito halafu ujutie kwani alibakwa si tamaa zake tu inshor kuwa mwangalifu kijana sababu kulea mtoto ambae sio wako ni kipaji.
Tena uckute alikua anamhimiza bwana ake.. "baby taraaatibuu"
 
Tena uckute alikua anamhimiza bwana ake.. "baby taraaatibuu"
Yaani ndivyo ilivyo kwenye game alikuwa analia kwa hamu ya utamu halafu sijui wabwagane na mpenzi wake ndo aje na mimba halafu nimuelewe , hapana aisee.
 
  • Thanks
Reactions: irk
akili yako ndo serikali yako, think na utajua cha kuamua
 
Sometimes accepting the reality keeps you safe. Achana nae huyo
 
Hapo ni wewe tu ROHO yako,ukiamua kunyoa au kisuka ni wewe tu.Kila kitu hapo ni wewe tu.
 
Kakimbiwa huyo hvo na na yeye anakimbilia ili apate pa kukimbilia
 
Habarini wanajamvi!

Katika harakati za hapa na pale nilikwaruzana na mpenzi wangu, ofcourse nilimpenda nae alinikubali japo sikumwamini sana na ishu ya kuzinguana ni kwasababu alimtukana mtu ninaemtegemea katika mambo kadha wa kadha.

Nilivyojaribu kumwambia kwamba sijapenda lile suala akaanza kunikashfu actually ikaniuma so tukaacha kuwasiliana na kila mtu akawa na mishe zake. After one year nimekutana nae tena, she is pregnant na kaniomba tuzungumze.

Nilivopata mda tukakaa, akaanza kulia oooooh! Umefanya maisha yangu yawe magumu, sikutaka kuzaa na mwanamme mwingine zaidi yako na bado nakupenda sana na lazima nije nizae na wewe.

Wakuu nifanyaje?

Hapo issue ni kuzaa naye au anakuhitaji, sijaona unahusikaje na kumharibia maisha accordingly to maelezo yako, kwakuwa sio wew uliempa mimba.
 
Mwambie hakuna shida mtazaa lakini hamtarudiana simple like eating a piece of cake
 
1yr hujajisogeza tu! Kweli ukistaajabu ya mussa utayaona ya firauni
 
Back
Top Bottom