Wadau nina mpenzi wangu kipindi chapita 1 yr, ila ananishangaza na tabia yake ya kusachi mifuko yangu ya shati au suruali!
Halafu sielewi anataka nini kwani anatega muda nikienda msalani, Nilishamtega siku hiyo nikamkuta kuuliza anajibu kuwa hata mavazi ni mali yake kuwa ana uhuru huo wa kufanya!
Nitafanyaje ili tabia hii ikome?
nafikiri alisha wahi kua mwizi...au anatokea kwenye familia za kifisadi...nakushauri toa taarifa mapema kwenye kituo cha polisi kilicho karibu nawe....
nafikiri alisha wahi kua mwizi...au anatokea kwenye familia za kifisadi...nakushauri toa taarifa mapema kwenye kituo cha polisi kilicho karibu nawe....
Atakuwa na tabia ya udokozi, kuna tabia ukishindwa kuziacha kwenu ndio hivo unaenda nazo kadi kwa watu, hadi kwa mumeo, looo shame on her,
mwambie umeiona hiyo tabia yake na hupendi,ukimwacha ataendelea hivohivo
nafikiri alisha wahi kua mwizi...au anatokea kwenye familia za kifisadi...nakushauri toa taarifa mapema kwenye kituo cha polisi kilicho karibu nawe....
Atakuwa na tabia ya udokozi, kuna tabia ukishindwa kuziacha kwenu ndio hivo unaenda nazo kadi kwa watu, hadi kwa mumeo, looo shame on her,
mwambie umeiona hiyo tabia yake na hupendi,ukimwacha ataendelea hivohivo
Natamani nijue tabia yake kabla sikuzama kwenye penzi zito kwake ningeweza kukaa pembeni, tabu nimejikuta nimezama kwake.
Mbona siku moja nilimwambia akanijibu anahaki ya kufanya hivyo!