Msaada: Mpenzi anataka nichore tattoo

Kwa Dar es salaam wapi wanachora tattoo ya muda mfupi kama zile ambazo ukitaka kuzitoa unazitoa baada ya mwaka mf na bei zao pleas nahitaj kumfurahisha babaa tattoo kiunoni.


Ni PM Finest kama kweli upo serious
 
Last edited by a moderator:

Mkuu unapoteza mda muda kwa mtu asiejua chochote, na wala hataki kujifunza. Leave him/her alone
 
Kqa hiyo akikwambia kula mavi utakula ili umfurahishe??

Yeye amechora tatoo????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…