Msaada: Mnafanyaje mambo yenu yaende poa?

Kazi na biashara..Kiuchumi kwa ujumla

Nitakupa a generic answer sababu mada yako ipo hivyo pia.

Biz haina mambo ya imani either uchawi au Mungu ndo maana kuna watu wapagani wanatoboa na wengine waumini nao wanatoboa au kufeli equally.

Haya mambo ni kujua your strengths and weaknesses and work on them. Kila mtu anajua hali yake so mtu wa kukutoa hapo ulipo ni wewe mwenyewe.

Aidha just working hard won't cut it you ought to work smart as well.

Fuata principles/basics za biashara, soma soko lako vilivyo fanyia kazi.

Mwisho, one needs to know when to call it quits. Kuna mambo mengine yanadinda mwanzo mwisho haina sababu ya kuendelea kung'ang'ania na kupoteza rasilimali hapo, tafuta shughuli nyingine move on. Such is life.
 
Thank you
 
For sure! Ukipigwa pipe stress zinapungua hapo sasa unaweza kufanya mambo yako kiufanisi zaidi
 
Ndugu yangu nasali lakini wapi...

Watu wako mtaani huku wanashinda kwa Mwamposa na bado hawatoboi tunawapa buku buku kila siku wengine tunshinda juu ya viti virefu ila maisha si haba, my point is yaangalie maisha face to face achana na wanaokwambia sijui uwe msafi rohoni na blah blah kibao.
 

futa vitu hivi
-watu walio karibu ambao ni mzigo na sio support kuanzia michongo,kazi,dili na muongozo.
-nenda na wakati na mazingira unachokifanya kuna watu wanang’ang’ania sehemu moja au biashara hiyo hiyo wakati imeshampita wakati au mungu kakwambia jaribu kingine.
-toka sehemu ambayo miaka nenda rudi hupo nayo
 
Kwa Mungu ndio penyewe.

Naweza kujua dini/dhehebu lako ili watu watakapokushauri namna ya kumuendea Mungu wasiende nje ya misingi ya imani yako.

Ila msingi Mkuu ni IMANI KAMILIFU KWA MUNGU.
 
Kwa kiasi chake yes .
Katika maisha ya kiroho na kimwili wapoje? Tafakari mwenyewe!
Kama upo mule mule basi shughuli ya kujichomoa ni pevu, kama ni vice versa shughuli ya kujichomoa ni simple! Karibu!
 
ushauri safi Sana Huuu.
 
Mimi hii ndio naikataaga. Yaani kosa afanye babu yangu huko nyuma kabla sijazaliwa afu me mtu mwingine nibebe msalaba hapana kwa kweli. Huucni uonevu wa hali ya juu. Imagine me nifanye kosa afu mwanangu aje apate shida kisa eti mimi kuwa ni baba ake yeye ndo iwe shida na mahangaiko kwake. Sijui hii imekaaje
 
Kwa Mungu ndio penyewe.

Naweza kujua dini/dhehebu lako ili watu watakapokushauri namna ya kumuendea Mungu wasiende nje ya misingi ya imani yako.

Ila msingi Mkuu ni IMANI KAMILIFU KWA MUNGU.
Mimi mkristo.Ila msaada hauangalii dini
 
Katika maisha ya kiroho na kimwili wapoje? Tafakari mwenyewe!
Kama upo mule mule basi shughuli ya kujichomoa ni pevu, kama ni vice versa shughuli ya kujichomoa ni simple! Karibu!
Wapo kawaida tu..Mimi nimejitenga kiukweli cuz napitia wakati mgumu kidogo..
 
Kama unaarithi genetic Sasa utashindeaje kubeba mzigo wa roho za kale
 

Mambo ya imani kama hizi za wafia dini sijui makosa ya babu alipe mjukuu ni NONSENSE. Mleta uzi akitaka akate ringi kabisa aendeleze hayo.
 
Mimi mkristo.Ila msaada hauangalii dini
Ukitaka msaada usiwe na KIHEREHERE AU KIMDOMO KASUKU.. Wewe ni mkristo, bila shaka unafahamu Umuhimu wa Jina na Damu ya Yesu Kristo.

Je, mtu tofauti na imani yako ya kikristo anaweza kukushauri hayo?

Au, mtu ambaye si mkristo unaweza kumshauri namna ya kumuendea Mungu kwenye Maombi kwa kutumia Jina la Yesu Kristo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…