Madege
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 530
- 111
Wadau habarini,
Naulizia, hivi taratibu za kujua mnada wa magari pale bandarini zikoje? Yaan in short, mnada huwa unafanyika baada ya muda gani, na ni vipi unaweza kuyapata hayo magari?
Asanteni:flypig:
jiandae mwezi huu wa kumi kuna mnada wa tra