Msaada: Mnada wa magari bandarini

Msaada: Mnada wa magari bandarini

lokiyo

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
1,953
Reaction score
883
Wadau habarini,

Naulizia, hivi taratibu za kujua mnada wa magari pale bandarini zikoje? Yaan in short, mnada huwa unafanyika baada ya muda gani, na ni vipi unaweza kuyapata hayo magari?
Asanteni:flypig:
 
Kwa kuangalia Magari Yard ya kwanza ipo Nyuma ya Central Police, na ya pili ipo nyuma ya Jengo la Nasaco (water front). Fika hapo kwa kuangalia magari yatakayouzwa. Mnada siku huwa zinabadilika badilika kila wiki. Ni PM no yako niwe naku sms siku za mnada kwa wiki zijazo.
 
Kwa kuangalia Magari Yard ya kwanza ipo Nyuma ya Central Police, na ya pili ipo nyuma ya Jengo la Nasaco (water front). Fika hapo kwa kuangalia magari yatakayouzwa. Mnada siku huwa zinabadilika badilika kila wiki. Ni PM no yako niwe naku sms siku za mnada kwa wiki zijazo.

Utaweza hiyo bei ya hizo gari? Halafu zinakuwa zimeckoka hizo.
 
Kwa kuangalia Magari Yard ya kwanza ipo Nyuma ya Central Police, na ya pili ipo nyuma ya Jengo la Nasaco (water front). Fika hapo kwa kuangalia magari yatakayouzwa. Mnada siku huwa zinabadilika badilika kila wiki. Ni PM no yako niwe naku sms siku za mnada kwa wiki zijazo.
khy kila wiki huwa kuna cku ya mnada?
 
khy kila wiki huwa kuna cku ya mnada?

kwa Mwezi inaweza kuwa Mara mbili au Tatu. Hizi Gari ni zile amabazo watu wamezinunua nje ila wameshindwa kuzikomboa,Hivyo sio gari mbovu kwani zimelipiwa TBS inspections Ndugu MASEBUNA
pia aipendezi hapa JF kila unachopost kuna Mtu anatoa maneno ya kejeli au kashfa. hii inafanya watu wavyunjike Moyo kutoa mawazo au ushauri.
 
kwa Mwezi inaweza kuwa Mara mbili au Tatu. Hizi Gari ni zile amabazo watu wamezinunua nje ila wameshindwa kuzikomboa,Hivyo sio gari mbovu kwani zimelipiwa TBS inspections Ndugu MASEBUNA
pia aipendezi hapa JF kila unachopost kuna Mtu anatoa maneno ya kejeli au kashfa. hii inafanya watu wavyunjike Moyo kutoa mawazo au ushauri.

Samahani mkuu hizo gari hela ya chini kabisa yaweza kuuzwa bei gan hapo kwenye mnada?? Hivi vigari vidogo vya kawaida?? Asante
 
Samahani mkuu hizo gari hela ya chini kabisa yaweza kuuzwa bei gan hapo kwenye mnada?? Hivi vigari vidogo vya kawaida?? Asante

Bei cheeeeee sana nina rafiki angu ndo zake ananunuaga na kuuza vitz mpyaaaa chasis namba inaenda kwa 6m
 
Matangazo huwa yanawekwa kwenye magazeti,kwahiyo uwe unasoma utajua
 
Humu humu kuna watu wanajifanya kujua habari zote za hiyo minada, siku ukiingia pm nao, mkaendelea na mchakato....at last atakuingiza kwenye 18 za utapeli.........nilianguka siwezi rudia tena!
 
Humu humu kuna watu wanajifanya kujua habari zote za hiyo minada, siku ukiingia pm nao, mkaendelea na mchakato....at last atakuingiza kwenye 18 za utapeli.........nilianguka siwezi rudia tena!

IPILIMO mchane aliekulizaa aisee,hahaha watu tumjue mkuu

Tatizo la minada ni wale mashanta wanaojifanya kupandisha dau kumbe ni wao kwa wao
 
Back
Top Bottom