Za leo wandungu,
I have just registered my self today and i want to start a topic but i have tried to check how i can do it nimeshindwa kwa kweli. Samahanini maana imenibidi nidandie humu humu.
kula lazimaaaaaaaa kuoga hiyariiiiiiiiiiiii
Anafikiri mwanaume ni kama mwanamke kwa kupenda kuoga.sina kipaji cha kuoga kwani mi chura au samaki
Kwani hukujua kabla hamjaoana? Au mlikutana barabarani mkafunga ndoa siku hiyohiyo?
Eti bwana, haaa eboo kuoga hiari
ninakaa uswahilini so kwa mabafu haya ya kwetu huku haiwezekani kwanza bafu lenyewe dogo mtu mmoja tu hatoshi fresh!
Huyu labda ana ID mpya au alishasepa siku nyingi maana kwenye ID hii last activity ilikuwa 23rd April 2009
mmmh mi ctak ntalambaje koni !huku kunakaharufu ka kukera? mh huyu anatafta mwanamke achepuke.unitie kinyaa unanuka ntapata wapi stim za dushe...
ninakaa uswahilini so kwa mabafu haya ya kwetu huku haiwezekani kwanza bafu lenyewe dogo mtu mmoja tu hatoshi fresh!