Msaada: Mme wangu hapendi kuoga!

Mme wako ni mchafu sana, ktk kipindi cha utoto wake alikuwa haogi MPAKA ACHAPWE!
 
sasa u-house awe anaijia bafuni usimnyime, ataoga tu. maana wanawake wengine wanakua turned on wakisikia kaharufu kidogo atawatafuta wa hivyo. Bafuni huko huko ndio yawepo mambo yetu yale, mwambie change of plans, ndio ubunifu wenyewe huo,unamwambia atangulie kabisa umkute na birthday suit, eeh ndio mambo yenyewe hayo kwa shida na raha, till death tears us apart, eeh isiwe till dirty and nasty tears us apart, eeeeeh ndoa bwana, ndoano.
Duh! utu u-zima bana mh! cjuhi kama.....................!!!!!!!!!!!!!!!
 
Jamani wifi,ndio nini kumchana live kaka yangu? Alianza hiyo tabia alipoenda boarding school A level,bwenini kwao walikuwa wanaoga siku za wali tu(once a week)la sivyo unaambiwa uhamie bweni la mabint. Pole sana mwaya maana ni mtihani kwa kweli
 
Kama umeolewa na jeshi usilalamike ni kawaida, katika mafunzo ya jeshi unatakiwa ukoge ukitekwa tu, adhawaizi ukikoga bila ridhaa ya amiri jeshi unapunguziwa mshahara.
 
Hahahaha! Pole jamani. Mmh! Au maji yanamuwasha. Dah!
Kama vipi akirudi muwe mnaogeshana.
Nunua lile beseni kubwaaa akigoma kwenda bafuni muwekee maji umuogeshe.
 
Hahahaha! Pole jamani. Mmh! Au maji yanamuwasha. Dah!
Kama vipi akirudi muwe mnaogeshana.
Nunua lile beseni kubwaaa akigoma kwenda bafuni muwekee maji umuogeshe.
yaani wewe mwenzio mume wake hakogi halaf wewe unacheka? khaaa! hivi lini utakuwa serious?
 
Jamani wifi,ndio nini kumchana live kaka yangu? Alianza hiyo tabia alipoenda boarding school A level,bwenini kwao walikuwa wanaoga siku za wali tu(once a week)la sivyo unaambiwa uhamie bweni la mabint. Pole sana mwaya maana ni mtihani kwa kweli
Maji ya shingo mwenzangu na kikwapa kimmchosha, msamehe bure
 
HUU NI MGOMO WA KUOGA!
Hapa nimeelewa. Issue sio kuoga. We ni mwanamke as an intellient kuna vitu unavielewa juu ya "my husband wako". Historia yaweza kuwa hakimu mzuri. Wewe mwenyewe hukuwa hivo kw husband wako. Wewe ulivyombadilikia aktafuta njia mbadaa ya kukuumiza akagndua ni kuanza mgomo wa kuoga. Kwa hatua hiyo kakupatia. Sasa jitathmini na ubadilike. Ni wazi mmetoka mbali na haya yametokea katikati ya mwendo. Why? Nina hakika hakuwa hivyo. Pili, nina hakika huyu jamaa sio kwamba hapendi kuoga bali kuna mazingira hapo kwako yamemfanya aweke mgomo baridi wa kuoga ambao nawe unasema ukitaka kuuvunja kwa muda unamuahidi uroda. Ssa hapa kama tatizo sio ww ni nani zaidi?
 
Mimi ni mwanamke, nilieolewa tatizo linalonisumbua ni kua mume wangu nashindwa kum-define ni mchafu au anatatizo mana hapendi kabisa kiuoga esp jioni! smtimes hadi namtisha kua simpi uroda mpaka aoge ndo ataenda tena kwa kulalamika sana! pia cku za w'end yy huoga jionii yaani anashinda bila kuoga cku nzima, . na huwa naanda maji mm mwenyewe tena yaliochemshwa(mana anapotaka kuoga hupenda kuoga maji ya vuguvugu) unaweza ukaweka bafuni hadi ukaenda kuyatoa!yy anachotaka ni kuoga mara moja kwa cku!sasa akioga asubuhi anavoenda kzn ndo bac akirudi haogi
nifanyaje?je huo ni ugonjwa au tatizo?

mimi naoga mara moja kwa wiki
 
Hii ni tabia ya mtu kuto taka kuoga wengi tu mbona tunawaona bora huyo anaoga kwa siku mara moja wengine ni kwa miezi anaoga mara moja napo kwa bahati mbaya.

hahahahah eti tena kwa bahati mbaya teh the hatareeee
 
Mimi ni mwanamke, nilieolewa tatizo linalonisumbua ni kua mume wangu nashindwa kum-define ni mchafu au anatatizo mana hapendi kabisa kiuoga esp jioni! smtimes hadi namtisha kua simpi uroda mpaka aoge ndo ataenda tena kwa kulalamika sana! pia cku za w'end yy huoga jionii yaani anashinda bila kuoga cku nzima, . na huwa naanda maji mm mwenyewe tena yaliochemshwa(mana anapotaka kuoga hupenda kuoga maji ya vuguvugu) unaweza ukaweka bafuni hadi ukaenda kuyatoa!yy anachotaka ni kuoga mara moja kwa cku!sasa akioga asubuhi anavoenda kzn ndo bac akirudi haogi
nifanyaje?je huo ni ugonjwa au tatizo?


itabid uoge nae na iwe ndo ratiba yako mpk atazoea.. pole!!
 
Duh! Ni declare interest kbs, binafsi naoga once a day! Unless nimefanya kazi ya kuchosha mwili.

unatakiwa ujue maumbile ya mwanaume yanamruhusu kuoga once a day,Ingawa kibongo bongo maji yapo ya kutosha, ila once inatosha, mkiingia kwny majamboz pia kuogwshana n muhimu (before/after)!
kama kazi zake sio za kutumia nguvu nadhani once its OK! Otherwise kuoga mara mbili ni muhimu.
 
Mimi ni mwanamke, nilieolewa tatizo linalonisumbua ni kua mume wangu nashindwa kum-define ni mchafu au anatatizo mana hapendi kabisa kiuoga esp jioni! smtimes hadi namtisha kua simpi uroda mpaka aoge ndo ataenda tena kwa kulalamika sana! pia cku za w'end yy huoga jionii yaani anashinda bila kuoga cku nzima, . na huwa naanda maji mm mwenyewe tena yaliochemshwa(mana anapotaka kuoga hupenda kuoga maji ya vuguvugu) unaweza ukaweka bafuni hadi ukaenda kuyatoa!yy anachotaka ni kuoga mara moja kwa cku!sasa akioga asubuhi anavoenda kzn ndo bac akirudi haogi
nifanyaje?je huo ni ugonjwa au tatizo?

Kama unanisema mimi
 
Back
Top Bottom