Sunshine OLD
Member
- Jul 17, 2008
- 51
- 9
Jamani Kevo!!jaribu kufanya bathroom more attractive.i mean weka rose flowers,mishumaa ya harufu and dim lights.then uwe unaoga nae siyo unamuacha tuu mwenyewe probably anaogopa!
Anaogopa nini???? Lol!!!
Jamani Kevo!!jaribu kufanya bathroom more attractive.i mean weka rose flowers,mishumaa ya harufu and dim lights.then uwe unaoga nae siyo unamuacha tuu mwenyewe probably anaogopa!
Pole sana.Wana JF mimi nina tatizo la pua moja kuziba, hasa ya upande wa kushoto. Inakuwa kama vile ina kamasi ila nikijaribu kupenga hakitoki kitu. Kwa kifupi nilifanyiwa upasuaji mwaka 2001 pale Aga Khan Hosp baada ya pua zote kuziba. Baada ya upasuaji nilipoteza kabisa uwezo wa kusikia harufu, matatizo ya pua kuziba yalipungua kwa kiasi kikubwa. Ila kuanzia mwaka 2006 matatizo hayo yamerejea tena, ila sasa hivi ni pua moja tu ndo imeziba. Nilifanikiwa kuonana na mtaalamu wa ENT akaniambia inabidi kufanyiwa upasuaji kwa mara nyingine kwa sababu eti yule Dr wa awali alikosea. Napata wasiwasi na ningependelea zaidi tiba mbadala. Je kuna mwenye taarifa za kunisaidia???
Za leo wandungu,
I have just registered my self today and i want to start a topic but i have tried to check how i can do it nimeshindwa kwa kweli. Samahanini maana imenibidi nidandie humu humu.
Mimi ni mwanamke, nilieolewa tatizo linalonisumbua ni kua mume wangu nashindwa kum-define ni mchafu au anatatizo mana hapendi kabisa kiuoga esp jioni! smtimes hadi namtisha kua simpi uroda mpaka aoge ndo ataenda tena kwa kulalamika sana! pia cku za w'end yy huoga jionii yaani anashinda bila kuoga cku nzima, . na huwa naanda maji mm mwenyewe tena yaliochemshwa(mana anapotaka kuoga hupenda kuoga maji ya vuguvugu) unaweza ukaweka bafuni hadi ukaenda kuyatoa!yy anachotaka ni kuoga mara moja kwa cku!sasa akioga asubuhi anavoenda kzn ndo bac akirudi haogi
nifanyaje?je huo ni ugonjwa au tatizo?
Wana JF mimi nina tatizo la pua moja kuziba, hasa ya upande wa kushoto. Inakuwa kama vile ina kamasi ila nikijaribu kupenga hakitoki kitu. Kwa kifupi nilifanyiwa upasuaji mwaka 2001 pale Aga Khan Hosp baada ya pua zote kuziba. Baada ya upasuaji nilipoteza kabisa uwezo wa kusikia harufu, matatizo ya pua kuziba yalipungua kwa kiasi kikubwa. Ila kuanzia mwaka 2006 matatizo hayo yamerejea tena, ila sasa hivi ni pua moja tu ndo imeziba. Nilifanikiwa kuonana na mtaalamu wa ENT akaniambia inabidi kufanyiwa upasuaji kwa mara nyingine kwa sababu eti yule Dr wa awali alikosea. Napata wasiwasi na ningependelea zaidi tiba mbadala. Je kuna mwenye taarifa za kunisaidia???
Pole sana
Tiba mbadala ni Yesu Kristo tu
huh!? 😕
Mambo ya kuoga nayo inabidi tumshirikishe yesu kristo!!!!??? Sasa huku ndiko kutumia dini vibaya.
Angalia quote niliyotumia mkuu.... au ndo uvivu wa kusoma???????
Dah!
Jaribu kuwa innovative na jitahidi ugeuze mawazo yake na kumfanya mara kwa mara awe anajumuika na wewe bafuni. Isiwe kwamba unamwambia akaoge na wewe umsubiri chumbani.
Changamsha akili Bibie
Inabidi jion hii nikamuulize mamsap kama yeye nae ni memba wa JF maana kama aliyosema Faith yananigusa..LOL
...Marvellous!!! kumtengea maji yaliyotiwa Hiriki, bizari na viungo vyote muhimu atakuwa anadai kuoga kwa siku mara 8.kama bafu dogo nunua beseni muogeshe chumbani mama!
Inabidi jion hii nikamuulize mamsap kama yeye nae ni memba wa JF maana kama aliyosema Faith yananigusa..LOL
Mimi ni mwanamke, nilieolewa tatizo linalonisumbua ni kua mume wangu nashindwa kum-define ni mchafu au anatatizo mana hapendi kabisa kiuoga esp jioni! smtimes hadi namtisha kua simpi uroda mpaka aoge ndo ataenda tena kwa kulalamika sana! pia cku za w'end yy huoga jionii yaani anashinda bila kuoga cku nzima, . na huwa naanda maji mm mwenyewe tena yaliochemshwa(mana anapotaka kuoga hupenda kuoga maji ya vuguvugu) unaweza ukaweka bafuni hadi ukaenda kuyatoa!yy anachotaka ni kuoga mara moja kwa cku!sasa akioga asubuhi anavoenda kzn ndo bac akirudi haogi
nifanyaje?je huo ni ugonjwa au tatizo?
Na joto la Dar, kuoga mara moja kwa siku haitoshi kabisa hata kama wewe ni bachelor.
.......aarrghhhh, watu mnalalama weeeeee.... si akachume upupu (simaanishi ule aliotumia Chenge Bungeni 🙂 ) tu halafu auweke kwenye ka-bahasha, na kutumia kidogo kidogo kwa kumtega kila siku kwenye kiti anachopenda kukaa. Halafu aongee na dakitari mmoja wapo ili atakapovimba vipele kutokana na kujikwangua daktari amwambie kuwa dawa ni kuoga kila siku mara 4, ili akioga walau mara mbili awe within target!
.......WARNING: usizidishe kipimo. upupu huua!!!
Jamani!! naomba kuuliza:
Mosi,Hivi nyie mnaosema awe innovative nyie ni wanaume au wanawake? kama ni wanaume - hivi kuoga ni kama kumeza klorokwini mpaka mmezee sukari? Usafi ni kitu cha muhimu kwa wote , wanawake na wanaume... sidhani ni jukumu la mke kum entice mumewe aoge.
Pili - kama wanaoshauri hivi ni wanawake - basi mbona pole zenu! Mpaka kuolewa na mume asiyependa kuoga ni kwamba ilibidi kuolewa at any cost na kufikiri atabadilika akishakuoa?? Kama alikuwa anaogo - imekuwaje akatae kuoga alipokuoa?
Tatu, Wanaume hapa JF jamani hebu mtuambie - ukiwa na mke asiyependa kuoga utafanya nini?
kama bafu dogo nunua beseni muogeshe chumbani mama!