The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Nna majirani wawili ..wadada wajawazito walikuwa..umri around 25.
Mmoja mtoto kafia tumboni kisa ni irregular heartbeat wakati hana historia ya ugonjwa huo..mimba ilikuwa miezi minne..na mwingine now mimba miezi mitatu nae kaanza kupata irregular heartbeat.
Nimejikuta nakuja kuuliza wajuzi hapa.
Tatizo laweza kuwa nini?
Kuna chanzo au sababu?
Matibabu ya tatizo hili yapi?
Mmoja mtoto kafia tumboni kisa ni irregular heartbeat wakati hana historia ya ugonjwa huo..mimba ilikuwa miezi minne..na mwingine now mimba miezi mitatu nae kaanza kupata irregular heartbeat.
Nimejikuta nakuja kuuliza wajuzi hapa.
Tatizo laweza kuwa nini?
Kuna chanzo au sababu?
Matibabu ya tatizo hili yapi?