Habari zenu?
Naombeni ushauri nilikuwa naumwa na typhoid na vidonda vya tumbo kwa muda wa kama wiki 2 hivi na sasa hivi bado nipo kwenye dozi ila cha kushangaza toka Jana naona miguu inavimba na ninapata maumivu sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini au ni sindano niliyochomwa kipindi naumwa nilichomwa vibaya maana toka nichomwe sindano bado naskia maumivu kwenye tako.
Naombeni mawazo yenu ili nijue pakuanzia
Naombeni ushauri nilikuwa naumwa na typhoid na vidonda vya tumbo kwa muda wa kama wiki 2 hivi na sasa hivi bado nipo kwenye dozi ila cha kushangaza toka Jana naona miguu inavimba na ninapata maumivu sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini au ni sindano niliyochomwa kipindi naumwa nilichomwa vibaya maana toka nichomwe sindano bado naskia maumivu kwenye tako.
Naombeni mawazo yenu ili nijue pakuanzia