Msaada miguu inavimba

tembocard

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
247
121
Habari zenu?

Naombeni ushauri nilikuwa naumwa na typhoid na vidonda vya tumbo kwa muda wa kama wiki 2 hivi na sasa hivi bado nipo kwenye dozi ila cha kushangaza toka Jana naona miguu inavimba na ninapata maumivu sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini au ni sindano niliyochomwa kipindi naumwa nilichomwa vibaya maana toka nichomwe sindano bado naskia maumivu kwenye tako.

Naombeni mawazo yenu ili nijue pakuanzia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom