project planner
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 1,166
- 1,533
Wakuu natumaini hamjambo naombeni msaada kwa hili Jambo wiki mbili na siku kadhaa nilichomwa na msumari ila uliingia Kidogo Sana nikafuta kwa sababu ilikuwa Kidogo nikaendelea na maisha ila sasa juzi nilianza kusikia mguu kama unavuta hivi nikaenda hospital nikamweleza doctor akanichoma sindano ya tetenasi na kunipa ampicillin nimeze lakini bado mguu unavuta na maumivu yanapanda mpaka Kwenye paja msaada wakuu naombeni nifanyaje