Mkamba Pazuri
Member
- Jul 18, 2017
- 77
- 27
- Thread starter
- #161
Mpuuze hiyo kwani aliondoka nayo si unaendelea kuitumia?Habari zenu wadau,
Mimi ni mgeni kidogo hapa JF,
Ni mwajiriwa na kipato chango si haba, kinaridhisha kwa kiasi chake, kuna binti hapa mtaani nipo nae yapata miezi mitatu, ni msichana mrembo tu katika warembo, twende kwenye point, hii nyumba ninayoishi ni ya ofisi, nina mfanyakazi mwenzangu ambae kila kukicha anamzungumzia huyu mwanamke wangu.
Anasema alishawahi mla kabla yangu (sina hakika) na hana time nae, nilimuuliza huyu binti amenijibu tu kuwa alimtongozaga akamkataa, mbaya zaidi anaenda kisimulia hadi ofisini kuwa nataka kuoa mwanamke ambae yeye amemtumia sana.
Na hii tabia ya kusema kila mwanamke amepita nayo anayo sana, naombeni mnishauri ndugu zangu nifanye nini maana moyo wangu unaumia sana, niachane na huyu mwanamke au nifanyeje.
Ushauri wenu tafadhali, nipo njia panda
Sent using jamii forums mobile app
Hapana Sijamkuta Bikira, Na Najua Alishakua na Mahusiano Kabla Yangu, Kinachoniuma Hiyo Mfanyakazi Mwenzangu Anaejisifu kuwa Amemtumia SanaWewe ulimpata vipi wenzako washindwe? Ulimkuta bikira?
Hapana Sijamkuta Bikira, Na Najua Alishakua na Mahusiano Kabla Yangu, Kinachoniuma Hiyo Mfanyakazi Mwenzangu Anaejisifu kuwa Amemtumia Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
....Unless umkute bikira hakuna mwanamke yeyote ambaye utamkuta hajatembea na mwanaume mwingine, never.Tatizo liko api hapo mkuu huyo jamaa usikute ata hajatembea na huyo mwanamke kaamu tu kumchafua sababu ya kukuonea wewe wivu kama unampenda endelea na huyo msichana ila ukimuacha tu jamaa yako anambeba mazima
Siku moja nenda na kisu ofisini mwambie "nilikuja kwa niaba ya kukutoa utumbo sema tu nikaona bora nianze na warning juu ya tabia yako ya kumtangaza vibaya mpz wangu so stay tuned kunasiku hiki kisu kitakuhusu ukiendekeza tabia zako za kishoga mamaee" kwani yeye ameoa bikra ?Habari zenu wadau,
Mimi ni mgeni kidogo hapa JF,
Ni mwajiriwa na kipato chango si haba, kinaridhisha kwa kiasi chake, kuna binti hapa mtaani nipo nae yapata miezi mitatu, ni msichana mrembo tu katika warembo, twende kwenye point, hii nyumba ninayoishi ni ya ofisi, nina mfanyakazi mwenzangu ambae kila kukicha anamzungumzia huyu mwanamke wangu.
Anasema alishawahi mla kabla yangu (sina hakika) na hana time nae, nilimuuliza huyu binti amenijibu tu kuwa alimtongozaga akamkataa, mbaya zaidi anaenda kisimulia hadi ofisini kuwa nataka kuoa mwanamke ambae yeye amemtumia sana.
Na hii tabia ya kusema kila mwanamke amepita nayo anayo sana, naombeni mnishauri ndugu zangu nifanye nini maana moyo wangu unaumia sana, niachane na huyu mwanamke au nifanyeje.
Ushauri wenu tafadhali, nipo njia panda
Sent using jamii forums mobile app
.......mbaya zaidi anaenda kisimulia hadi ofisini kuwa nataka kuoa mwanamke ambae yeye amemtumia sana....