heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,019
- 13,266
nina mchumba nipo nae zaid ya mwaka na nusu sasa amenianzishia mtindo wa kunidai mesej za mapenz zenye maneno mazuri zaidi ya mawili kabla ya kulala kama dozi vile deile
nimemtumia kama miez minne mfululizo siku nisipomtumia basi ni kununa mwanzo mwisho yani kawa addicted flan hv
na kwajinsi anavyo respond maneno yangu huwa anafarijika sana ananiambia hupatwa na furaha ya ajabu na ndo anapata usingizi
Tatizo mimi stock ya maneno imeisha sina maneno na kama ninayo ni marudio sasa wana jf kama vp dondosha ujumbe wwote wa kumfarij msichana m nikopi na ku paste chini nikiweka saini yako
hapa utakua msaada wa kuimarisha uchumba hata kwa wengine JF FOR LIFE thanks
nimemtumia kama miez minne mfululizo siku nisipomtumia basi ni kununa mwanzo mwisho yani kawa addicted flan hv
na kwajinsi anavyo respond maneno yangu huwa anafarijika sana ananiambia hupatwa na furaha ya ajabu na ndo anapata usingizi
Tatizo mimi stock ya maneno imeisha sina maneno na kama ninayo ni marudio sasa wana jf kama vp dondosha ujumbe wwote wa kumfarij msichana m nikopi na ku paste chini nikiweka saini yako
hapa utakua msaada wa kuimarisha uchumba hata kwa wengine JF FOR LIFE thanks