Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Pole sana ni bora ukapime ili ujijue uanze matibabu kuliko kuacha lije lianze kukomaa
Marupurupu ya Uzinzi ni Magonjwa ya zinaa!! Nenda hospital...hakuna haja ya kuona aibu. The earlier the better. Pole mkuu
Itupie Hiyo Link Mkuu
https://www.jamiiforums.com/mahusia...a-tafadhali-anataka-kuniroga.html#post1209692
Soma hapo umuone mvaa kata k.
Mimi Kondomu huwa zinanipunguzia stimu.Ila sasa najuta.
Mkuu wewe noma, yaani unawala hata wanaume wenzako? Sasa hawa uliowataja katika hii orodha yako..." miss chagga, Madame B, Madame S, madammeX, Heaven on Earth, Shy land, Lala1, KikulachoChako, Apologise lady, Honey Faith, [URL="http://www.
Mkuu Hilo Swali Lako Wakija Wenyewe Wahusika Watanisaidia Kukujibu
Mkuu Kiepe Yai naona umepanic sana.Mimi siyo mchangiaji sana kwenye hili jukwaa lakini mchepuko anaumwa tu ugonjwa wa kawaida directly hiyo itakuwa fungus.Nina skill and knowledge kwenye maeneo ya fungus na UTI.Hivi gonorrhea unaijua mkuu au unaongea tu?Kwani P inauma na kutoa Kama usaa?Wee sikia tu kwa mwenzio.
1)Kwa kumsaidia mchepuko wako nenda tu pharmacy mnunulie zile dawa Za kuinsert kwenye K Za fungus hilo tatizo litaisha.Mbona ni ugonjwa wa kawaida? huu ugonjwa wanawake wanaupata hata kwenye vyoo vichafu au mashuleni au vyouni kwenye mavyoo ya kushare.Pia some people are very sensitive unaweza ukashangaa mwanamke akaingia public toilet bila kupata maradhi yoyote such as Fungi and UTI,mwingine akaingia akaondoka na maradhi.Women differ.
2)KWA nini anakuambia na wewe utibiwe ni kwa sababu yanaambukiza.Akijitibu akipona alafu ukija kulala naye obvious utamuambukiza.
Mkuu Nashukuru Sana.Umeongea Kiprofeshino Zaidi
Mkuu wewe noma, yaani unawala hata wanaume wenzako? Sasa hawa uliowataja katika hii orodha yako..." miss chagga, Madame B, Madame S, madammeX, Heaven on Earth, Shy land, Lala1, KikulachoChako, Apologise lady, Honey Faith, [URL="http://www.
Mkuu Hilo Swali Lako Wakija Wenyewe Wahusika Watanisaidia Kukujibu
Sawa....!
Kwahiyo kwako matumizi ya Kondomu yamekupita kushoto mwenzetu?
Mkuu wewe noma, yaani unawala hata wanaume wenzako? Sasa hawa uliowataja katika hii orodha yako..." miss chagga, Madame B, Madame S, madammeX, Heaven on Earth, Shy land, Lala1, KikulachoChako, Apologise lady, Honey Faith, Watu8, Ruttashobolwa, Tee Bag, Evelyn Salt, KING'asti, TUPACified, @M011, Tamalisa, mshanar jr, warumi.." yaani wako hapa kwa kujiuza tu au?
we ni muthenge au???
Sina cha kuongeza