Msaada: Mchepuko umenipa gono, zinaa sasa basi

Msaada: Mchepuko umenipa gono, zinaa sasa basi

Kama ni mchepuko kwa nini hukuchukua tahadhari, au condom zinakupwaya?
Inawezekana wewe ndo umempelekea, kuna fangasi za candida unahamisha kutoka kwa mchepuko mmoja kwenda mwingine maana hawastawi vizuri katika maumbile ya mwanaume hivyo wewe unakuwa mbebaji.
Mkuu Unawez Ukawa Uko Sahii Kabisa.Ila Hao Fangasi Wa Candida Nimewatoa Wapi??.Ina Maana Shemeji Yenu Anahusika.Na Mimi Sitaki Niamini Hivo Coz Namuamini Sana Wa Ukwe..E Wangu!
 
Mkuu Unawez Ukawa Uko Sahii Kabisa.Ila Hao Fangasi Wa Candida Nimewatoa Wapi??.Ina Maana Shemeji Yenu Anahusika.Na Mimi Sitaki Niamini Hivo Coz Namuamini Sana Wa Ukwe..E Wangu!

Ndo utajua unayemuona wa ukwee yeye anaweza kuwa anakuona mchepuko
 
ha ha ha ntakuombea ukifa buana naona umekua mpole gafla hilo ndo gono mdogo ange ngoma

Ntashukuru Sana Mkuu Eve Kwa Maombi Na Ukemee Kweli.Ila Hiyo Ngoma Husipende Kuitajataja Sana.Si Unajua Kua Mdomo Unaumba??!
 
Ndo utajua unayemuona wa ukwee yeye anaweza kuwa anakuona mchepuko

Ha Ha Ha Haaaaa!.Mkuu Nacheka Kama Mazuri Vile.Kwhy Unanishauri Nianze Kumchunguz Wa Ukwe.E Wangu?
 
Hiyo ni U.T.I acha woga ingekuwa gono wewe ungeshaona dalili coz siku saba zishapitaa. Endeleaa kuchapa mechi za ugenini
 
Hiyo ni U.T.I acha woga ingekuwa gono wewe ungeshaona dalili coz siku saba zishapitaa. Endeleaa kuchapa mechi za ugenini

Oooooooops!.Mkuu Nashukuru Kwa Kunipa Moyo.Ubarikiwe!
 
Inaonekana ww ndio umempelekea huo ugonjwa maana alivoambiwa tu aende na mpenz wake akakufata wewe, na vile pia anajua mtaendelea kudinyana ndio maana kataka mpate wote tiba. Nendeni mkatibiwe uko... eboooh!
 
Mwanaume ukiambukizwa gono huchukua siku tatu hadi saba ndo dalili huanza kujitokeza, lakin sasa wewe wiki imepita saiv halitakua gono ni U.T.I tu mkuu wala usipate presha zaburee.
 
Hata Mimi Nashangaa Jamani.Mimi Nilidhani Haya Magonjwa Yalishafutikaga Kenye Ramani.Mara Ya Mwisho Kuyasikia Ilikua Mwanzoni Mwa Miaka Ya 90.Sasa Sijui Kalifukunyua Wapi
Pole sana. Enzi yangu nilikuwa player sana lakini sijawahi kukutana na haya makitu, nakumbuka nilikuwa na rafiki yangu (R.I.P) tukipishana pishana , kuna mahali katika kupishana mwenzangu alitoka na hayo makitu mimi hayakunikuta!!! Kuanzia siku hiyo nikisikia yeye amepita mimi nikawa sigusi kabisaaa mpaka nilipoacha.
 
Ila Kuhusu Mechi.Mwenzenu Nimestahafu Kuchezea Klabu Na Timu Ya Taifa Umri Umeenda.Nawaachia Nyie Vijana

Weee ng'ombe hazeeki maini........ kulaa bata umri ndo huu shauri zako wew jibane bane maisha yenyewe mafupi
 
mwanaume ukiambukizwa gono huchukua siku tatu hadi saba ndo dalili huanza kujitokeza, lakin sasa wewe wiki imepita saiv halitakua gono ni U.T.I tu mkuu wala usipate presha zaburee.

Mmmmh!.Inaweza Kua Kweli Mkuu.Maana Mpaka Sasa Dalili Bdo.Ndoman Ata Alivyonambia Twende Wote.Nikamkalia Nikamwambia Mimi Sisikii Chochote.Lakini Yeye Ndo Ananambia Anaona Vitu Vyeupe.
 
Inaonekana ww ndio umempelekea huo ugonjwa maana alivoambiwa tu aende na mpenz wake akakufata wewe, na vile pia anajua mtaendelea kudinyana ndio maana kataka mpate wote tiba. Nendeni mkatibiwe uko... eboooh!

Mkuu Punguza Jazba.Nadhani Hii Kitu Imeanzia Kwake Kwasababu Yeye Ndo Ameshaanza Kuona Dalili
 
Hivi ni kweli haya magonjwa yanaweza kutokea kwa mwanamke bila kufanya mapenzi/kujamiana?

Kuna jamaa alikuwa akikaa mkoa tofauti na mpenzi wake sasa siku wameonana jamaa akakuta Demu ana hivyo vitu veupe na kiarufu huko chini.

Baada ya kwenda hospital Dr. akamwambia jamaa kuwa huwa inatokea especially kwa wanawake hata kama hajafanya mapenzi sasa yule Dada alipewa treatments kama za Gonorhea.

Naomba ufafanuzi wana jamvi?
 
Back
Top Bottom