Msaada: Mchepuko umenipa gono, zinaa sasa basi

Msaada: Mchepuko umenipa gono, zinaa sasa basi

Weee ng'ombe hazeeki maini........ kulaa bata umri ndo huu shauri zako wew jibane bane maisha yenyewe mafupi

Naogopa Mkuu Israili Ameshaanza Kunibeep Hasije Akanipigia Kabisa.Kunguru Muhoga Uishi Maisha Marefu
 
ni kweli ndugu yangu lakini unajiweka kwenye risk kubwa
na sikushauri uendelee kula pekupeku

Mkuu Kuanzia Sasa Hilo Nalizingatia Na Hata Wadau Nimewashauri Hivo Tubadiri Tabia Zetu.Ikiwemo Na Wewe Hii Inakuhusu
 
Pole sana kamanda, wanawake wajinga ndio waliwao. mimi nimewagegeda wengi sana na kuwapotozea tu!
 
Bado Najipenda Mkuu.Ila Hata Wewe Hilo Jina Lako Liangalie Vizuri.Lisije Likakuponza.

Hahaaa...haliwez kuniponza tena lisipokuwa makini mm naliuza nipate helaaa.......natania bhana mkuu... asante kwa ushaurii
 
Pole sana kamanda, wanawake wajinga ndio waliwao. mimi nimewagegeda wengi sana na kuwapotozea tu!

Kamanda Manyota Nakufahamu Vizuri Sana.Najua Wewe Ni Mmoja Wapo Wa "GT Vichwa Ngumu".Ndomana Hata Katika Uzi Wangu Nimekusii Sana.Swala La Kubadili Tabia
 
Hahaaa...haliwez kuniponza tena lisipokuwa makini mm naliuza nipate helaaa.......natania bhana mkuu... asante kwa ushaurii

Binadamu Wa Leo Wanapenda Vitu Vitamu Tu.Vichungu Hawavitaki.Jina Lako Ni Tamu Sana Ishi Nalo Kwa Machale.
 
Binadamu Wa Leo Wanapenda Vitu Vitamu Tu.Vichungu Hawavitaki.Jina Lako Ni Tamu Sana Ishi Nalo Kwa Machale.

Ujue nikisoma jina lako nasikiaa njaa duuu..... mkuu na wewe inaonyesha ezi za ujanaa umewatembelea san waksomaa
 
Ujue nikisoma jina lako nasikiaa njaa duuu..... mkuu na wewe inaonyesha ezi za ujanaa umewatembelea san waksomaa

Mkuu Umejua?.Enzi Zangu Nilikua Nahonga Sana Kiepe Yai.Demu Nikimfukuzia Alikua Hachomoki.
 
Uwe unavuta bangi ili uongeze stimu kisha uvae kondom ugegedane

Ngoja Aje Mkuu Shy Land Anisaidie.Kama Katika Pitapita Zake Ameshawai Kujaribu Hii Kitu Ikafanya Kazi Vizuri
 
Dalili tafuta mchepuko mwingine kula alafu isikilizie
 
Story yako nzuri, lakini ukigonga demu mwenye gono majibu unayapata asubuhi yake tu, wala hausubiri akupigie. Tumia condom bob, ni hatari utakufa. Mimi nilikuwaga natembea na dem moja, tulipozoweana nikawa nagonga kavu, baadaye yule demu akaenda kupima akaonekana yuko chanya, kwa uzuri kabisaa akaniita akanieleza na kunishauri na mimi nikapime....mwanaume jasho la ulimi lilitoka, baadaye nikapata nguvu nikapima nikakuta negative, sikuamini nikarejea kupima sehemu mbalimbali mara kibao....sasa hivi nimekoma ndugu yangu sigongi bila condom kamwe! tena nimehamia kwa madokta na manesi maana full kutembea na vipimo kwenye mkoba haumgongi bila kupima!
 
Back
Top Bottom