pj lufunya
Member
- Dec 21, 2012
- 22
- 4
Kama nilivyotangulia kusema mimi ni miongoni mwa wasio na uelewa wa namna ya kuagizia bidhaa mtandaoni kama vile Alibaba,Amazon nk
Ili kukwepa kukosea namna ya kufanya online shopping naona bora nitumie mawakala wenye uzoefu
ili kukwepa upotevu wa pesa
Natanguliza shukrani.
Ili kukwepa kukosea namna ya kufanya online shopping naona bora nitumie mawakala wenye uzoefu
ili kukwepa upotevu wa pesa
Natanguliza shukrani.