Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 199
habarini wana Jf
Baada ya pitapita humu jamvini nilikutana na mtualicomment kuhusu kutumia olive oil katika kutibu tatizo la uume kusimama, sikumbuki maelekezo yake ila ndio nimenunua hiyo hayo mafuta na sasa naomba msaada wa namna ya kuitumia, na pia nimejaribu kugoogle nikaona pia ina faida nyingi,kwani inatumika pia kwenye chakula lakini sijui yanatumikaje, unapikia kwenye chakula? au unafanyaje? msaada tafadhali
Baada ya pitapita humu jamvini nilikutana na mtualicomment kuhusu kutumia olive oil katika kutibu tatizo la uume kusimama, sikumbuki maelekezo yake ila ndio nimenunua hiyo hayo mafuta na sasa naomba msaada wa namna ya kuitumia, na pia nimejaribu kugoogle nikaona pia ina faida nyingi,kwani inatumika pia kwenye chakula lakini sijui yanatumikaje, unapikia kwenye chakula? au unafanyaje? msaada tafadhali