Msaada: Matumizi ya neno Next of Kin (NOK)

Ndesalee

JF-Expert Member
Apr 17, 2014
1,085
513
Hili neno huwa linatumika sana katika wakati wa ujazaji wa nyaraka mbalimbali mf. Mikataba ya ajira,hospitalini,mauziano ya vitu n.k.
Swali langu naomba kuelimishwa "implication" yake hasa ktk mikataba mbalimbali,je huyo anayekuwa NOK ndio atakuja kuwa mrithi wako pindi utapofariki.?!
 
Yes si lazima
Hebu fikiria yeye ndo anapewa taarifa umekufa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapo ndio shida ilipo.
In short mie na wife tuna kimgogoro ktk tafsiri ya hilo neno "Next of Kin". Mie huwa simuwekagi yeye hata kidogo kuwa my next of kin kwa kuwa namjua madhaifu yake mengi tu ktk upokeaji wa taarifa kunihusu mie na hata ndugu ama jamaa zake. Sasa hv karibuni amekuta nyaraka za manunuzi ya kiwanja kwa awamu sehemu ya next of kin ni braza wangu. Amekasirika sana na anasema kuwa incase nikifa basi mrithi wa kile kiwanja atakuwa ni kaka yangu. Kila nikimulewesha haelewi anasema mie napendelea ndugu zangu kuliko yeye..
 
Mkuu hapo ndio shida ilipo.
In short mie na wife tuna kimgogoro ktk tafsiri ya hilo neno "Next of Kin". Mie huwa simuwekagi yeye hata kidogo kuwa my next of kin kwa kuwa namjua madhaifu yake mengi tu ktk upokeaji wa taarifa kunihusu mie na hata ndugu ama jamaa zake. Sasa hv karibuni amekuta nyaraka za manunuzi ya kiwanja kwa awamu sehemu ya next of kin ni braza wangu. Amekasirika sana na anasema kuwa incase nikifa basi mrithi wa kile kiwanja atakuwa ni kaka yangu. Kila nikimulewesha haelewi anasema mie napendelea ndugu zangu kuliko yeye..
Kama una mjomba wako muandike hapo kwenye NEXT OF KIN
 
Nijuavyo next of kin anatakiwa awe ndugu yako wa damu,au ndugu wa karibu ambapo pamoja na mambo mengine ndiye atakua mmiliki au mrithi wa mali zako au mafao pindi unapokua umefikia tamati ya uhai wako.Hivyo watu wengi huwaandika watoto, wazazi,kaka,dada ama hata mjomba na shangazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nijuavyo next of kin anatakiwa awe ndugu yako wa damu,au ndugu wa karibu ambapo pamoja na mambo mengine ndiye atakua mmiliki au mrithi wa mali zako au mafao pindi unapokua umefikia tamati ya uhai wako.Hivyo watu wengi huwaandika watoto, wazazi,kaka,dada ama hata mjomba na shangazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzi wetu wa ndoa kuwaandika ni kujitengenezea tatizo.?!
 
Hili neno huwa linatumika sana katika wakati wa ujazaji wa nyaraka mbalimbali mf. Mikataba ya ajira,hospitalini,mauziano ya vitu n.k.
Swali langu naomba kuelimishwa "implication" yake hasa ktk mikataba mbalimbali,je huyo anayekuwa NOK ndio atakuja kuwa mrithi wako pindi utapofariki.?!
Kuna watu wanaweza kudharau mada kama hii lakini itawaelimisha wengi

Jr
 
Wenzi wetu wa ndoa kuwaandika ni kujitengenezea tatizo.?!
Mali na mafao yote atasombea kwao ama kwa mwanaume mwingine na kuwaacha wazazi wako wasiambulie chochote kitu.Upande wangu watoto na wazazi ndo nawapa kipaumbele.Mwanamke (mke) yeye anatakiwa aambulie kiduchu kwa sababu baada ya hapo atapata mwenza mwingine.
 
Hili neno huwa linatumika sana katika wakati wa ujazaji wa nyaraka mbalimbali mf. Mikataba ya ajira,hospitalini,mauziano ya vitu n.k.
Swali langu naomba kuelimishwa "implication" yake hasa ktk mikataba mbalimbali,je huyo anayekuwa NOK ndio atakuja kuwa mrithi wako pindi utapofariki.?!
Ndugu wa karibu anayekufahamu vizuri, haimpi haki ya mirathi.
 
NOK -Close relative, blood relative, spouse, kinsman, kinswoman, parents -hawa ndio wanaonekana kuwa Next Of Kin kwa mujibu wa dictionary .
 
Back
Top Bottom