relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,188
- 4,764
Habari!
Wakuu naomba elimu kwa ufupi kujua hii mbegu ya alizeti anayogaiwa na serikali huko kwenye maduka ya pembejeo inauzwa kiasi gani kwa ujazo wa kilo mbili na je ni aina gani ya mbegu na Tija yake ipije kwa gunia moja la debe saba linatoa mafuta kiasi gani.
Wakuu naomba elimu kwa ufupi kujua hii mbegu ya alizeti anayogaiwa na serikali huko kwenye maduka ya pembejeo inauzwa kiasi gani kwa ujazo wa kilo mbili na je ni aina gani ya mbegu na Tija yake ipije kwa gunia moja la debe saba linatoa mafuta kiasi gani.