Msaada: Massage parlours Arusha

Msaada: Massage parlours Arusha

Kironde

Member
Joined
Apr 25, 2012
Posts
27
Reaction score
6
Wadau heshima kwenu,

Mwezi July natarajia kuanza kazi jijini Arusha kwa mkataba wa miezi 10. Nimejiwekea utaratibu wa maisha kiafya kuwa kila weekend huwa naenda gym na baada ya kutoka gym napitia massage parlour. Ni rahisi kupata gym kwani tuna network yetu nchi nzima wana-mazoezi wa gym. Tatizo linakuja kuhusu massage parlours.

Msaada tafadhali

Natanguliza shukrani
 
Zipo nyingi sana inategemea na mshiko wako.
 
Aisee maisha tunatofautiana sana wakuu wengine tunasaka pesa ya kulisha hata familia hatuioni wengine sijui wanalipia sijui nini huzo

Kila la heri mkuu A town sasa hivi baridi ya kufa mtu usisahau tu makoti maana hiyo hata uwe na hela itakupuliza tu...
 
Usipate taabu mkuu,kuna huyu mdada mtaalamu wa massage anaweza kukufanyia massage popote pale iwe nyumbani kwako au ofisini kwako au kwenye massage parlour yake.Piga 0689 584003.Anapatikana Arusha.


Wadau heshima kwenu,

Mwezi July natarajia kuanza kazi jijini Arusha kwa mkataba wa miezi 10. Nimejiwekea utaratibu wa maisha kiafya kuwa kila weekend huwa naenda gym na baada ya kutoka gym napitia massage parlour. Ni rahisi kupata gym kwani tuna network yetu nchi nzima wana-mazoezi wa gym. Tatizo linakuja kuhusu massage parlours.

Msaada tafadhali

Natanguliza shukrani
 
Usipate taabu mkuu,kuna huyu mdada mtaalamu wa massage anaweza kukufanyia massage popote pale iwe nyumbani kwako au ofisini kwako au kwenye massage parlour yake.Piga 0689 584003.Anapatikana Arusha.


mmhhhh
 
Hata Mimi nataka Sana kujua zilipo niweze kupatiwa huduma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom