Scofied
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,455
- 1,657
Wakuu heshima yenu....nataka nimnunulie shemeji yenu Mashine ya kufulia...sasa sins uzozefu nazo kabisa ninunue gani? nasikia kuna Washer sijui na nyingine gani? kifupi nataka kutumia kufua nguo za aina zote ikiwemo majinsi yanguu..naona yanamtesa sana...msaada kwa wanao jua je ninunue Dry Mashine au gani ingine?
Thanks
Thanks