Msaada: Mapishi ya MATOKE

Msaada: Mapishi ya MATOKE

Mayu

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2010
Posts
8,415
Reaction score
13,785
Wakuu kunawakati katika zunguka zunguka za kazi nilipata kukaa Kagera kwa miezi kadhaa, nilitokea kupenda sana zile ndizi zao wanaita MATOKE

Naomba kama kuna mtaalamu anielekeze namna ya kupika yakiwa na mchangnyiko wa Sato au samaki yeyote au nyama na mchanganyiko mwingine, maana nilikuwa nakula mara nakuta maharage kwambali nyanya chungu, mboga mboga nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom