Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 795
- 843
- Thread starter
- #21
Haaa hasipokutafuta ulikuwa unajisikiajeHahaha! me baada ya kugundua hiyo hali nliamua kuacha yeye ndo awe ananitafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaa hasipokutafuta ulikuwa unajisikiajeHahaha! me baada ya kugundua hiyo hali nliamua kuacha yeye ndo awe ananitafuta
Bora kumpa some spaceMbaya zaidi utampoteza huyo mpenzi wako sababu utageuka kuwa kero kwake!
Kweli mkuu, Ni Bora kubalance shobo
Pole ndio mapenzi hayo, jitahidi upunguze kidogo....Apo sasa
SijakuelewaMkuu hujampenda huyo manzi upo obsessed naye, na tatizo ndiyo linaanzia hapo.
Boeing787-8
Sawa mamaPole ndio mapenzi hayo, jitahidi upunguze kidogo....
Yeah just ignore her tu! Af mwanamke akijua una interest nae 150% anaanza vidharau sababu anajua huna pa kupumulia kabisa i.e kazi za nje!Bora kumpa some space
SawaaaJifunze mkuu balance shobo otherwise mkiachana utajikuta Mwaisela
Kweli mkuuYeah just ignore her tu! Af mwanamke akijua una interest nae 150% anaanza vidharau sababu anajua huna pa kupumulia kabisa i.e kazi za nje!
Mwanaume mwenye demu pembeni hawezi kum suffocate mpenzi wake!
Ni kwa vijana zaidi, ukishaingia utu uzima na uzee wala haisumbuiHuwa inaitwa insecurity, ni zao la kupenda kitu kupita kiasi kwamba unakuwa na hofu kisipotee au kuharibiwa! Mara nyingi kichocheo ni kuwa loose bila kuwa busy inaupa muda akili yako kufikiria mpenzi zaidi kuliko mambo mengine.
Hii hali ikikutokea kwa mpenzi wako manaake utaanza kumchunga,utaanza kutaka akujibu sms kila unapotuma tu,akiteleza kidogo utaanza kuhisi analiwa nje na wahuni! Akikunyima K ndio moto utawaka balaa!
Hela ipo, Ila thanks for your helpPunguza kujali sana, tafuta hela , kula Bata af kingine Kuwa chanzo cha furaha yako mwenyewe usitegemee mtu hata ikitokea umepata misukosuko ya mahusiano Umia kidogo Then move on, fanya ivi utanishukuru baadae
Sent from my SHV43 using JamiiForums mobile app
Poa tu,kwanza ndo vizuriHaaa hasipokutafuta ulikuwa unajisikiaje
Mi nilipitia hali hiyo ya kuwa na muwaza na kumfuatilia demu wangu, yaani asipojibu msg au kupokea cm nilikuwa nahangaika sana, baadae nikaanza mpotezea kidogo kidogo nikashangaa yeye alivyoukuwa ana piga simu na ma message kama yote!!!! nikagundua kua attention niliyokuwa na mpatia ndiyo ilikuwa ina mpa kichwa!!! siku hizi wala simtafuti kihivyoo mpka yeye ana lalamika.
Safi sanaMi nilipitia hali hiyo ya kuwa na muwaza na kumfuatilia demu wangu, yaani asipojibu msg au kupokea cm nilikuwa nahangaika sana, baadae nikaanza mpotezea kidogo kidogo nikashangaa yeye alivyoukuwa ana piga simu na ma message kama yote!!!! nikagundua kua attention niliyokuwa na mpatia ndiyo ilikuwa ina mpa kichwa!!! siku hizi wala simtafuti kihivyoo mpka yeye ana lalamika.
Huyo achana nae tu kwa kuwa hamtaivisha chochote..Im telling you..Ukweli Mchungu...Mmm, solution ni nini mkuu