Msaada: Manyara National Park

Msaada: Manyara National Park

Acha kudhani. Umeshawahi kutembelea park yoyote na kuchukua tour guide? Ni shilingi elfu moja za kitanzania. Mimi ndio ninayolipa[/QUOTE
Asante,nimetembelea mbuga zote kaskazini.Guide wana demand elfu kumi.inawezekana nimedhuliwa?
 
Unataka kulala kule ndani? Accomodation na meals inategemea mnataka hotel ya hadhi gani. Kuna serena (ndani ya park) na octagon lodge (nje kidogo na bei itakuwa chini kiasi) . Ingia mtandaoni uangalie options ulizonazo. Manake kuna tourist bandas ambazo ni cheap na itakusaidia kuwa na holiday ndefu bila stress. Kuna options za tenting kama familia yako ya watu 15 inapenda adventure (i cant imagine holiday ya 15 pple, unless uniambie una kituo cha watoto yatima ama walemavu)

unaweza kuingia pia kwenye tours website, ukawahoji kidogo wakakupa picha. Ila usiende kule na hela ya mawazo na bajeti kamili kama serikali ya JK, utakuwa surprised.


simple tricks ninazotumia kwenda holiday: beba snacks na vinywaji kadri uwezavyo hasa maji ya kunywa na kama mnatumia pombe kali. Zitawasaidia mkiwa porini msihangaike na ratiba ya meals.


King'ast..

Kuhusu familia lisikupe tabu sana.. Familia nyingi za kiAfrika ni Extended Family...

Nategemea kuja PM tuongee mengi.
 
Last edited by a moderator:
Unakosea utaratibu, hiyo ni makubaliano yenu kwa hiyo haiwezi kuzuiliwa. Ukiwa mbugani unapaswa uingie ofisini na kuomba tour guide. Unalipia tzs 1,000/- na unapewa risiti ya njano ile ya jamhuri. Sasa kama unasemea shida yako kwenye parking, hiyo ni 'genji'.

Japo kwako ni cheaper, manake mie siwezi kutoka na guide nikazurura nae kutwa nzima na nisimnunulie lunch na kumpa tip ya tzs 10,000/- pia. labda awe hajanifurahisha hata kiduchu
Asante,nimetembelea mbuga zote kaskazini.Guide wana demand elfu kumi.inawezekana nimedhuliwa?
 
Back
Top Bottom