Wadau nataka kwenda pale iStore (Mlimani City) niagiazie hii simu kutoka U.S.A ikiwa Unlocked nauliza kwa wazoefu itanigharimu kiasi gani mpaka mzigo wangu ufike Dar es Salaam?
naomba kuwasilisha!
Wadau nataka kwenda pale iStore (Mlimani City) niagiazie hii simu kutoka U.S.A ikiwa Unlocked nauliza kwa wazoefu itanigharimu kiasi gani mpaka mzigo wangu ufike Dar es Salaam?
naomba kuwasilisha!
Bei zinategemea na uwezo wa simu -- 32GB ni dola 750, 64GB ni dola 850 na 128 GB ni dola 950. Hizo ndio bei kwenye maduka ya vifaa vya apple yaani iStore na Elite Computers
Ndugu iPhone fake huwa inakubali Kutengeneza Apple I.D? Ni vigezo gani vinatumika kuijua kuwa ni fake?
Ndugu Istore ya bongo bidhaa zao ni copy amini maneno yng
Ndugu Istore ya bongo bidhaa zao ni copy amini maneno yng
Nashukimuru kwa uzoefu wako mkuu hata mimi kuna mtu alinishtua nikawa sina uhakika na hilo!
Wadau nataka kwenda pale iStore (Mlimani City) niagizie hii simu kutoka U.S.A ikiwa Unlocked nauliza kwa wazoefu itanigharimu kiasi gani mpaka mzigo wangu ufike Dar es Salaam?
Naomba kuwasilisha!
Bei zinategemea na uwezo wa simu -- 32GB ni dola 750, 64GB ni dola 850 na 128 GB ni dola 950. Hizo ndio bei kwenye maduka ya vifaa vya apple yaani iStore na Elite Computers
Poa mdau!
Mi nisaidie bei ya iPhone 5SNishtue kesho kabla ya saa nne nikupe price kwa maduka yote makubwa kama upo dar ...
Mi nisaidie bei ya iPhone 5S
iphone 4s na 5s kwa sasa napata kwa sh ngapi wakuu?