logan007 Senior Member Nov 22, 2020 197 200 Jun 30, 2021 #1 Habari, Naomba kujuzwa kwa anaejua, je kiasi gani kwa mwenye basic salary 300,000 anakatwa na NSSF?
Depal JF-Expert Member Nov 26, 2018 47,200 188,727 Jun 30, 2021 #2 Asilimia 10 ya basic salary, yaan 30,000Tsh only
Ushimen JF-Expert Member Oct 24, 2012 37,217 85,352 Jun 30, 2021 #3 Kwa kifupi kabisa, utakatwa kiasi cha 30,000