Msaada: Makato ya NSSF kwa wafanyakazi wenye basic salary ya Tshs. 300,000

logan007

Senior Member
Nov 22, 2020
197
200
Habari,

Naomba kujuzwa kwa anaejua, je kiasi gani kwa mwenye basic salary 300,000 anakatwa na NSSF?
 
Back
Top Bottom