The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
Wasalaam.
Dhumuni la bandiko hili ni kutaka kujua makato anayopaswa kukatwa mwajiriwa wa serikali. Lengo ni kujua take home inabaki ngapi baada ya makato stahili.
1. PAYE ni asilimia ngapi?
2. Social security je?
3. Na NHIF ni kiasi gani?
4.Je makato haya yanatofautiana kulingana na ajira?
5. Na je makato yote yanakokotolewa kwenye basic salary au huwa yanakatwa kwenye sum inayobaki baada ya makato mengine?
6.Mwisho,zipi ni stahili ninazopaswa kuzijua za mfanyakazi wa taasisi za serikali ?
Dhumuni la bandiko hili ni kutaka kujua makato anayopaswa kukatwa mwajiriwa wa serikali. Lengo ni kujua take home inabaki ngapi baada ya makato stahili.
1. PAYE ni asilimia ngapi?
2. Social security je?
3. Na NHIF ni kiasi gani?
4.Je makato haya yanatofautiana kulingana na ajira?
5. Na je makato yote yanakokotolewa kwenye basic salary au huwa yanakatwa kwenye sum inayobaki baada ya makato mengine?
6.Mwisho,zipi ni stahili ninazopaswa kuzijua za mfanyakazi wa taasisi za serikali ?