Matumaini yangu mnaendelea vyema na maisha.
Mama yangu mpendwa aliyekuwa ananilipia ada chuo ameshindwa kufanya hivyo tena sababu ya uchumi kuwa mgumu kwake.
Alikuwa anajenga nyumba yake ambayo hajaimalizia. Kutokana na hali kuwa ngumu amenipatia nyumba hiyo rasmi na kuniambia niiuze Ili niweze kumalizia masomo yangu (bado miaka 4 nimalize chuo)
SWALI: Je wakuu kiwanja cha square meter 210 + nyumba iliyopauliwa tayari, haina madirisha wala milango (4 rooms, sebule + choo na bafu) naweza kuiuza kwa makadirio ya bei gani?
Location: MOSHI mjini.
Mama yangu mpendwa aliyekuwa ananilipia ada chuo ameshindwa kufanya hivyo tena sababu ya uchumi kuwa mgumu kwake.
Alikuwa anajenga nyumba yake ambayo hajaimalizia. Kutokana na hali kuwa ngumu amenipatia nyumba hiyo rasmi na kuniambia niiuze Ili niweze kumalizia masomo yangu (bado miaka 4 nimalize chuo)
SWALI: Je wakuu kiwanja cha square meter 210 + nyumba iliyopauliwa tayari, haina madirisha wala milango (4 rooms, sebule + choo na bafu) naweza kuiuza kwa makadirio ya bei gani?
Location: MOSHI mjini.