kinondoniilala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 988
- 762
Wanabodi,
Leo asubuhi wakati nawasha gari yangu ya Nissan X Trail ikatoa muungurumo usio wa kawaida yake. Muungurmo wa gari uliotoa ni kama ule wa magari ya mashindano au kama ule unaofanana na Subaru Forester.
Nimeshindwa kuondoka nalo kwenda nalo ofisini imenibidi nilipaki nyumbani. Naomba kwa mtu anayejua mafundi wazuri wa Nissan X Trail QR 20 Model ya mwaka 2005 hususani upande wa Exhaust wanipe direction nikawaone.
Mimi nipo jijini Dar es Salaam, naishi Mbezi ya Kimara.
Nawasilisha.
Leo asubuhi wakati nawasha gari yangu ya Nissan X Trail ikatoa muungurumo usio wa kawaida yake. Muungurmo wa gari uliotoa ni kama ule wa magari ya mashindano au kama ule unaofanana na Subaru Forester.
Nimeshindwa kuondoka nalo kwenda nalo ofisini imenibidi nilipaki nyumbani. Naomba kwa mtu anayejua mafundi wazuri wa Nissan X Trail QR 20 Model ya mwaka 2005 hususani upande wa Exhaust wanipe direction nikawaone.
Mimi nipo jijini Dar es Salaam, naishi Mbezi ya Kimara.
Nawasilisha.