chakufia nini
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 692
- 456
wadau hebu naomba mwenye kuweza kuniambia kwa ufasaha definition ya ugaidi na gaidi.hivi ugaidi ni nini na gaidi ni nani?kwani nashindwa kuelewa,unakuta mtu upande mmoja anaitwa gaidi na upande wa pili ni shujaa na mpigania haki.napenda tu sasa kujua gaidi ni nani na ugaidi ni nini.